General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,023
Dah hakuna zaidi ya hii pole sanaTema nyongo hapa hasira zipoe, moyo utuliee.
Mimi nimemtumia nauli mchepuko wangu mpya. Yani ndo tulipanga leo tuvunje amri ya sita kwa mara ya kwanza, lkn nashangaa baada ya kutuma hiyo pesa, kaniambia kapata udhuru anaenda Muhimbili eti dada yake anataka kuongezewa damu
Hapa nimefura kweli, nimewapigia tigopesa. wakasema ela ishatolewaa.
Nimeona ni share na nyie kidogo nitatulia
Nimeamka nikamkuta mtu yupo chooni,
Ngoja nijipange mkuu,Ndio matatizo ya kupanga chumba cha elfu kumi. Choo kimoja mnashea watu thelasini!
Jichange mkuu uhamie angalau chumba cha self...
asantee mkuuDah hakuna zaidi ya hii pole sana
ela kashaitoa mkuuMkuu, haraka wapigie M pesa wambie warudishe hiyo pesa, umekosea namba...
Haya ndio madhara ya kuchangia Uzi pasipo kuusoma woteMkuu, haraka wapigie M pesa wambie warudishe hiyo pesa, umekosea namba...
Nahisi hiyo statement ya mwisho kaingeza baadaye. Wakati na soma ni kama vile sikuiona...Haya ndio madhara ya kuchangia Uzi pasipo kuusoma wote
Hahahahamkuu leo kuna mtu kachia shuzi ndani ya daladala lilikua simchezo sasa watu wote wakawa wanaangalia upande niliokuwepo mimi nikaona awa watu wanajua mimi ndio nimetoa hiki kitu nini kwa kweli nilikwazika moyoni.