General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Tema nyongo hapa hasira zipoe, moyo utuliee.
Mimi nimemtumia nauli mchepuko wangu mpya. Yani ndo tulipanga leo tuvunje amri ya sita kwa mara ya kwanza, lkn nashangaa baada ya kutuma hiyo pesa, kaniambia kapata udhuru anaenda Muhimbili eti dada yake anataka kuongezewa damu
Hapa nimefura kweli, nimewapigia tigopesa. wakasema ela ishatolewaa.
Nimeona ni share na nyie kidogo nitatulia
Mimi nimemtumia nauli mchepuko wangu mpya. Yani ndo tulipanga leo tuvunje amri ya sita kwa mara ya kwanza, lkn nashangaa baada ya kutuma hiyo pesa, kaniambia kapata udhuru anaenda Muhimbili eti dada yake anataka kuongezewa damu
Hapa nimefura kweli, nimewapigia tigopesa. wakasema ela ishatolewaa.
Nimeona ni share na nyie kidogo nitatulia