Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Kweli tunatofautina...
Mimi nalia hapa nini kimeikumba pombe yangu pendwa kiroba original
Mimi nalia hapa nini kimeikumba pombe yangu pendwa kiroba original
Smirnoff na savana zimekaa kike kike sanaHata mimi natumia bapa mkuu.
Ila ile pia natumia. Mazingira yana matter.
Hakuna kinywaji cha kike.
Maoni yako mkuu, siwezi kuyakataa.smirnoff na savana zimekaa kike kike sana
Basi ndivyo ilivyo. Inabidi pubs waistock hii kitu.Mi sinywi sijui
Hilo linajulikana. Vifungashio vya viroba. Hata Zanzi ile ya 2,000 100mls imepitiwa na hatma hiyo hiyo.Kweli tunatofautina...
Mimi nalia hapa nini kimeikumba pombe yangu pendwa kiroba original
Nikianza kula vyombo nita itest maana umeisifia sanaBasi ndivyo ilivyo. Inabidi pubs waistock hii kitu.
Na utakuwa hooked niamini. Umeacha vyombo temporarily?Nikianza kula vyombo nita itest maana umeisifia sana
Kazi hufanywa haizungumzwi wewe njoo huku uzungumze kuhusu kufanya kazi ilihali wenzako wanafanya kazi na huku wanakuja muda wa mazungumzo.Wabongo bana mnakuwa weledi na bidii wa vitu vidogovidogo na vya kijingajinga. Tungekuwa na bidii kama hii ya kutaka kuishi maisha mazuri na uchumi kwa kila mbongoFanyeni kazi aiseee
Nakubaliana na hilo jina, hongera kwa kazi uifanyayo, pole kwa porojo hizi uzifanyazo, Unahitaji usaidizi wa kutambua ukiandikacho maana mada haikuwa kufanya kazi ndipo na mimi nikakushauri hiviTulia wewee mgerasi acha porojo jamvini fanya kazi na ujikite kwenye mada
Don't compare your life with others, Do what you thought you can, the remains others will do. Period.
Huyo ni wa kumkimbia hahahaMaoni yako mkuu, siwezi kuyakataa.
Ila wengine wana ya kwao pia. Mfano mimi namshangaa mwanamke anayepiga safari, castle kavu. Ila siwezi kumwambia.
Kama mtu hana self control, hata spirit ata overdose tu. Ladha ya kinywaji sio sababu.Hivi vinywaji alcoholic vitamu vitamu ni rahisi sana mtu ku-overdose na ni njia inayopelekea wasiokunywa waanze kunywa..., nakumbuka kipindi fulani huko ughaibuni vilizidi sana hadi wadau wakaanza ku-question impact yake kwa young generation.., ukitaka tengeneza pombe tengeneza pombe hii pombe ya juice mtu anunue cocktail ambayo ni gharama juu kidogo..., tena since inaagizwa basi ipigwe kodi ya kutosha atleast adha ya vijana wakilewa na kutapika mitaani tupate pesa ya kuwatibu na kuwapa figo zetu siku wakizidiwa....
Budweiser naiona mkuu. Ila ile ni beer. Huwezi ukareplace smirnoff ice na ile kitu.Nafikiri tbl wameachana nacho na wakawekeza kwenye budwiser ..ndio maana unaona sahivi promo mingi sana na inakuja kwa kasi
Ndio kilaji chake sasa.Huyo ni wa kumkimbia hahaha
Hapana situmiagiNa utakuwa hooked niamini. Umeacha vyombo temporarily?
Kimara karibu na st gloryNdio wewe wa kwanza kusema ikapatikana. Mitaa ipi mkuu? Au stock yao haijaisha, ikiisha ndio basi.
Budweiser naiona mkuu. Ila ile ni beer. Huwezi ukareplace smirnoff ice na ile kitu.
Plus, serengeti ndio walikuwa wanaimport Smirnoff ice
target ya hivi vinywaji alcopops ilikuwa ni teenagers ili kuwavutia na kuongeza mauzo.., na sababu ni kama soda mtu anabugia tu na kwa haraka..Kama mtu hana self control, hata spirit ata overdose tu. Ladha ya kinywaji sio sababu.
target ya hivi vinywaji alcopops ilikuwa ni teenagers ili kuwavutia na kuongeza mauzo.., na sababu ni kama soda mtu anabugia tu na kwa haraka..
'Alcopops' target youth market with sweet taste, clever packaging
Parents should beware of alcoholic drinks that increasingly look and taste like sodas, and therefore are more appealing to teenagers, county public health officials warn. The beverages, dubbed "alcopops" for their similarity to soft drinks, include products like Mike's...www.mlive.com
This Is Why Teenagers Aren’t Drinking Alcopops Anymore
The sickeningly sweet, pre-mixed concoctions were everywhere come the turn of the millennium, but today’s teenage drinkers are immune to the allure of the alcopop.www.vice.com