Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,751
Kwa sisi wazee wa zamani tunakumbuka sana Mabus haya...
1. Fresh ya Shamba
2. Safina
3. Kwacha
4. Zainabu
5. Kiswele
6. Matema
7. Masia
8. Tawaqal
Hawa walikuwa wakongwe wa barabara za nyanda ya juu kusini. Miaka hiyo ya nyuma. Nini kilitokea mpaka wakafirisika na kupotea katika ramani ya dunia?
Nakumbuka magari ya Kiswele yalikuwa yanaozea hapo Mabibo External. Sijui yakaenda wapi tena.
Je matajiri wa sasa wa Mabus kuna kitu wamejifunza toka kwa wakongwe hawa? Anyway...mi nashauri kwa siku moja katika mwaka bus zinazoenda njia hiyo zisimame mikumi kwa dk 3 kama kumbukumbu kwa malejendari hawa wa usafiri wa miaka hiyo
1. Fresh ya Shamba
2. Safina
3. Kwacha
4. Zainabu
5. Kiswele
6. Matema
7. Masia
8. Tawaqal
Hawa walikuwa wakongwe wa barabara za nyanda ya juu kusini. Miaka hiyo ya nyuma. Nini kilitokea mpaka wakafirisika na kupotea katika ramani ya dunia?
Nakumbuka magari ya Kiswele yalikuwa yanaozea hapo Mabibo External. Sijui yakaenda wapi tena.
Je matajiri wa sasa wa Mabus kuna kitu wamejifunza toka kwa wakongwe hawa? Anyway...mi nashauri kwa siku moja katika mwaka bus zinazoenda njia hiyo zisimame mikumi kwa dk 3 kama kumbukumbu kwa malejendari hawa wa usafiri wa miaka hiyo