Nilivyomuona Shariff Hamad akiyapokea matokeo na kutoa pongezi kwa Shein, ilikua kama alishayajua matokeo muda mrefu tu..... Na ukiiangalia picha hii (toka michuzi blog) Mshindi na mshindwa wakishangilia pamoja imenishangaza sana.sijawahi kuona mshindwa akimsaidia aliyeshinda kushangilia. atleast angekaa kimya akiobserve mwenzake akishangilia.Ni muafaka tu or?
:smile-big: Ukiuza utumbo usiogope nzi mkuu... pana maana pana sana hapo:smile-big: UNAJUA KILICHOTUPONZA BARA HUKU... TUMEMKIMBIZA MWIZI WETU KWA MAKELELE AKAPATA PA KUJIFICHA.. KULE PEMBA MWIZI ALIKIMBIZWA KIMYAKIMYA NDO MAANA SISIEMU WAKITEGEMEA KUPATA KITI WAKAKOSA, NA UNGUJA IKAWABIDI WANYANG'ANYE, AMA HAMKUJUA KWAMA MAALIM ALISHINDA KWA 54% ???
Mbona hawa hawakamatwi kwa kumvalisha ngombe kofia ya ccm
kwa ukweli nawaonea wivu waZbar, ubinafsi wa viongozi uko pembeni, wanafikiria maslahi ya nchi yao na watu wao,
najua kinachofuata ni kufikira jinsi ya kuiteka bara, we utaona tu.
Seif hakukubali matokeo kirahisi hivyo, maana inaonyesha alishinda! Mwinyi huyu huyu ndiye aliyetuliza mzuka ambao ungezuka Zanzibar kuliko kipindi chchote katika historia hii! akina mama wa CUF walikuwa wanasubiri matokeo ili hali wakitoka machozi!!
No doubts next president atakuwa Seif huko zanzibar na hivi ndivyo walivyokubaliana. Offocurse influence ya CUF na hii 'kukubali matokeo' zanzibar ndiyo umesababisha bara akina Lipumba kushangilia hali wakijua zanzibar yao 2015!!!!!