Nini Kiini cha maumivu ya mapenzi?

Nini Kiini cha maumivu ya mapenzi?

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,966
Wadau poleni ni mihangaiko, leo nataka tutafakari hili jambo kwa pamoja, ni nini hasa kiini cha maumivu ya kimapenzi? Kwa nini ukiachwa na mpenzi hasa unayempenda maumivu huwa makali? Kwa nini ukimfumania mpenzi wako maumivu huwa makali? Mbaya zaidi hata kwa mpenzi uliyemwacha mwenyewe siku ukimuona anatoka guest na mtu wake bado unaumia. Kwa nini iwe hivi kana kwamba hakuna watu wengine utapata? Kituko ni kwamba, wewe ukiwa unachepuka husikii maumivu yoyote hata kama unajua unayechupuka naye siyo mtu wako na unajua ana mtu wake wala husikii wivu wowote.

Kwa upande wangu kiini cha tatizo hili ni ubinafsi tu wa watu, maana hakuna sababu nyingine ambayo huwa inaniingia kichwani maana nyingi zina majibu, wanawake ni wengi tena wazuri kuliko huyo na wanaume ni wengi tu wenye kukuhitaji kwa nini sasa uumie??

Karibuni.
 
Wadau poleni ni mihangaiko, leo nataka tutafakari hili jambo kwa pamoja, ni nini hasa kiini cha maumivu ya kimapenzi? Kwa nini ukiachwa na mpenzi hasa unayempenda maumivu huwa makali? Kwa nini ukimfumania mpenzi wako maumivu huwa makali? Mbaya zaidi hata kwa mpenzi uliyemwacha mwenyewe siku ukimuona anatoka guest na mtu wake bado unaumia. Kwa nini iwe hivi kana kwamba hakuna watu wengine utapata? Kituko ni kwamba, wewe ukiwa unachepuka husikii maumivu yoyote hata kama unajua unayechupuka naye siyo mtu wako na unajua ana mtu wake wala husikii wivu wowote.

Kwa upande wangu kiini cha tatizo hili ni ubinafsi tu wa watu, maana hakuna sababu nyingine ambayo huwa inaniingia kichwani maana nyingi zina majibu, wanawake ni wengi tena wazuri kuliko huyo na wanaume ni wengi tu wenye kukuhitaji kwa nini sasa uumie??

Karibuni.
Mapenzi ni kama addiction yoyote ile unaoijua( cocaine, sigara, pombe etc)! Addiction zote hua zinaleta hali flan iv ya furaha kihisia..! Kwakawaida, ili usikie furaha homones zinazoitwa endorphines, dopamine na serotonin.. lazma zitolewe na ubongo! When u start any kind of addiction love inclusive...ile natural way ya ubongo kurelease izo happy hormones za furaha..zinakua altered in a such a way that ubongo nao unareact kwa external factors..(ili endorphines zitolewe nyingi bas lazma kue na external onfluence).,na hii inatokea aftter mda!

Maumiv yanakua makali cuz, once luv ikiondoka..the whole system ya ubongo kurelease same kind of happy hormones inakua altered again ( this time ubongo unarudia hali yake ya kawaida)..! Maumiv unayoyaskia ndo matokeo ya kuurudisha ur emotional states kwa hali ilokua! Sasa kupona itategemea kias gan...utakua na nguvu ya kupoteza kila kitu..ili u heal...usaidie mwili kurudi kwa hali yake ya kawaida!

Mfano mzuri ni alosto kwa wale wala unga ama withdrawals kwa alcohol addicts! Alosto inakuja na maumivu yasiyo pimika,cuz ubongo ushafanya extremely reliance kwa madawa yale ili uweze fanya kazi ya kutoa zile happy feelings hormones!

Is the same thing applies to love...cuz mapemz ni hisia na emotional driven! Its all inside the brain people nothing more!!
 
Back
Top Bottom