stein na ww umevutwa na title za magazeti
1. hajasema anagombea mwaka 2015
2. amesema chama chake kikiamua...na wananchi wakiridhia
3. kasema ndoto zake
plz acheni kufuata mkumbo jamani aibu ya karne hii....usiwe kama mtei bana
zito 2015 hana umri wa kugombea urais pleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeese
Kama kweli mgombea wa Chama cha upinzani anaungwa mkono na Chama Tawala basi mimi ninashauri huyo mgombea asimamishwe kugombea URAIS.
Kwani kama atasimamishwa huyo mgombea, chama tawala kitaondoa katika kinyang'anyilo cha urais mgombea wao. Hivyo huyo mgombea wa upinzani anayeungwa mkono na chama tawala ATAPITA BILA KUPINGWA.
Lakini kama anaungwa mkono na chama tawala, halafu bado chama tawala kikasimamisha mgombea wake, basi hilo ni changa la macho. Kwani cham tawala CCM kina kawaida ya kuunga MKONO wagombea weak, ili kipate ushindi wa mchekea! Na kuawapiga vita wagombea wanaotoa upinzani kwake. Mfano Augustine Mrema NCCR 1995, Prof Ibrahim Lipumba CUF 2000, Dr. Slaa CDM 2010. TAFAKARI
Waberoya,
Anyway Sikumtaja lakini kama akiwa kwenye hiyo group ni sawa tujadili... Ila kikubwa ni tufanye nini kama mgombea nafasi ya umwenyekiti au Urais kutoka upinzani anaungwa mkono na chama tawala na baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi hasa katika nchi kama hii yetu?
Na ikafika hatua hadi wakaanza kumwezesha kifedha na mambo mengine?
akiungwa mkono na ikathibitika akiungwa mkono wananchi wataamua!!! unless unasema tukijadili na kufikia conclusion basi tuta endorse tulichoamua..hatuna nguvu hiyo!!
theoretically we can say anything and
Practically iko tofauti kabisa.....hawa watu wetu wa kofia na kanga na kilo moja ya mchele wako kivinginge
Personally sita-msupport mtu ambaye anaungwa mkono na mafisadi waliothibitika ni mafisadi..Kama fisadi yuko mtaani , huyo siyo fisadi
Anayeungwa mkono na chama tawala anafaa sana maana atapata majority ya kura, za wapinzani wenzake na chache za watawala.
akiungwa mkono na ikathibitika akiungwa mkono wananchi wataamua!!! unless unasema tukijadili na kufikia conclusion basi tuta endorse tulichoamua..hatuna nguvu hiyo!!
theoretically we can say anything and
Practically iko tofauti kabisa.....hawa watu wetu wa kofia na kanga na kilo moja ya mchele wako kivinginge
Personally sita-msupport mtu ambaye anaungwa mkono na mafisadi waliothibitika ni mafisadi..Kama fisadi yuko mtaani , huyo siyo fisadi
Mkuu kote tumeenda sawa,ila hapa mwisho umeniacha kidogo,unasema kama fisadi yupo mtaani huyo si fisadi,kwa maana ya kua yule ambae hajafikishwa kwenye vyombo vya sheria lakini anahisiwa na kutajwa au???
Waberoya, naomba tuwe realistic.
Ninaona unataka watu wachukulie kauli ya Zitto kirais rais sana kwa misingi ya kwamba ni haki yake kuwa na nia, na sasa naona unasema kauli yake sio issue sababu by 2015 atakuwa hana umri unaoruhusiwa kikatiba kugombea urais.
Sijakuona ukitoa maoni juu ya taswira zifuatazo.
1. Kwanza, kwamba ZITTO sio kama Nape au John Shibuda, kwamba wakisema wanataka kugombea urais kauli zao tutegemee ziwe na weight kama kauli ya Zitto, ni sawa sawa na mtu mmoja kauliza kwamba mbona hamad aliposema anataka kugombea uenyekiti au ukatibu mkuu cuf haikuwa issue ila zitto kutaka urais inakuwa issue?
naomba tuwe realistic katika hili, na ushahidi tunao kwamba hapa hapa JF ameleta mvurugano, ZITTO ana nguvu fulani za kisiasa nchini.na ninakubaliana na wewe asilimia mia kwamba ni haki yake kuwa na nia na hata kuelezea nia hiyo. lakini kwa nguvu alizonazo kama na yeye anazijua kutoa kauli kama hiyo katika kipindi ambacho chama chake kiko kwenye mchakato muhimu sana wa maendeleo yake ni ABUSE OF HIS INFLUENCE.
NA HAPA AMEONYESHA JINSI ALIVYOPUNGUKIWA NA BUSARA ZA UONGOZI.
Duh kweli Zitto ana damu ya kunguni