STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 552
Mimi napata mashaka kidogo na utata wa swala kugombea nafasi ndani ya Chama cha upinzani ila hali ukiungwa mkono kwa hali na mali kutoka chama tawala......
Hii inaleta tafsiri tata sana mfano unapokuta kijana anatangaza nia ya kuukwaa umwenyekiti wa Chama pinzani wanajitokeza watuhumiwa wa ufisadi na wanaokikandamiza nchi hii na watu wake kwa miaka 50 na kumwaga sifa na kumjazia pesa kwenye acount zake ni swala la kulifanyia kazi na si kucheka cheka kama ambbavyo marafiki zangu wanafikiri.
Tufike mahali to employ great thinkers pengine watusaidie what is behind this move.... Mimi nafikiri kila mtanzania ana majibu.
Leo hii akija mgombea yeyote katika nafasi yeyote iwe ubalozi au Rais, anaungwa mkono na any one of member katika ile list of shame au mtu yeyote mwenye uhusiano directly or in directly lazima tumjadili kwa kina sana na tujiridhishe kulikoni. Haijalishi hata kama anaushawishi kiasi gani lazima tumchunguze sana....
Inapotekea mtanzania yeyote anatamka na kuseama ANATAKA SANA URAISI lazima tumchunguze na kujua ana nia gani?
Mimi naanza uchunguzi wangu kuanzia leo hadi 2015
Hii inaleta tafsiri tata sana mfano unapokuta kijana anatangaza nia ya kuukwaa umwenyekiti wa Chama pinzani wanajitokeza watuhumiwa wa ufisadi na wanaokikandamiza nchi hii na watu wake kwa miaka 50 na kumwaga sifa na kumjazia pesa kwenye acount zake ni swala la kulifanyia kazi na si kucheka cheka kama ambbavyo marafiki zangu wanafikiri.
Tufike mahali to employ great thinkers pengine watusaidie what is behind this move.... Mimi nafikiri kila mtanzania ana majibu.
Leo hii akija mgombea yeyote katika nafasi yeyote iwe ubalozi au Rais, anaungwa mkono na any one of member katika ile list of shame au mtu yeyote mwenye uhusiano directly or in directly lazima tumjadili kwa kina sana na tujiridhishe kulikoni. Haijalishi hata kama anaushawishi kiasi gani lazima tumchunguze sana....
Inapotekea mtanzania yeyote anatamka na kuseama ANATAKA SANA URAISI lazima tumchunguze na kujua ana nia gani?
Mimi naanza uchunguzi wangu kuanzia leo hadi 2015