Nini husababisha mtoto kulia sana usiku?

hongera
umepata mtoto gani ?

nashauri aitwe jf
 
Inaweza kuwa njaa, tumbo kujaa gesi kutokana na kunyonya vibaya, baridi, joto, kuvalishwa nguo ngumu zinazomuumiza, chumba kutokuwa na hewa ya kutosha, harufu isiyopendeza, kulala vibaya( usimlaze mtoto chali) na pengine mauzauza ya kishirikina ( Najua mtapinga kwa kuwa havijawakuta au mnajifanya serikali kutotambua uchawi wakati upo ).
 
Asilale chali!Mtoto mdogo atalalaje ubavu?
 
Yawezekana ni hali mbaya kiafya itokanayo na maziwa anayo nyonya hivyo mamake anapitiwa na kausingizi asimbebe ka alivyo mbeba mchana.
Pili; Mtoto huona sana wachawi wanavyokuja ndani au majini. Majini mengi huwasumbua watoto yakitaka kuwaingia na kuwapagaa.
Dawa;
Hamisha sehemu kitanda kilipo, geukia upande mwingine yaani kichwani kuwe tena miguuni. Mtoto usimwelekeze kichwa alikokuwa anaelekea.
Ka ni majini, mara nyingi mtoto akilia atakuwa anaangalia upande flani tu kila mara.
Dawa;
Maombi kwa wenye vipawa vya kuombea sio kuwasomea dua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…