Inaweza kuwa njaa, tumbo kujaa gesi kutokana na kunyonya vibaya, baridi, joto, kuvalishwa nguo ngumu zinazomuumiza, chumba kutokuwa na hewa ya kutosha, harufu isiyopendeza, kulala vibaya( usimlaze mtoto chali) na pengine mauzauza ya kishirikina ( Najua mtapinga kwa kuwa havijawakuta au mnajifanya serikali kutotambua uchawi wakati upo ).