Nini hatima ya wanafunzi waliofutiwa mitihani?

Nini hatima ya wanafunzi waliofutiwa mitihani?

Nsam

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2018
Posts
212
Reaction score
290
Naomba kuuliza na kupata ufafanuzi, hivi mtoto katika hili suala la wizi wa mitihani anaingiaje. Je, mtoto anasaidikaje maana kosa lake silioni.

Mtoto kasoma zaidi ya miaka kumi leo unamfutia matokeo, je nini hatima yake

Na kipi kifanyike ili kuwasaidia watoto maana wazazi pia wametumia ada hawahusiki na hili.

Nisaidieni kama wanaweza kwenda secondary na kama wanaweza wanaendaje bila matokeo na kama wataenda private je prem wanatoa wapi
 
Watarudia tu nakumbuka palikuwa na chalii mwaka fulani walifutiwa shule fulani alikariri darasa kweny shule nyingine.
 
Ninasikitika kusema 89% za private school wanafanya udanganyifu katika mitihani ya mwisho.
Watoto wanafundishwa namna ya kusaidiana ndani ya mitihani na pili wanakula na wasimamizi.

Hili linavuruga kabisa elimu ya nchi hii.

Hili la kufutiwa najua watarudia mitihani
 
Hili jambo limenikera mno, kesho ningekuwa na mamlaka wote wangepanda Kisutu wajibu mashtaka
 
Naomba kuuliza na kupata ufafanuzi hivi mtoto katika hili suala la wizi wa mitihani anaingiaje. Je mtoto anasaidikaje maana kosa lake silioni
Mtoto kasoma zaid ya miak kum leo unamfutia matokeo je nini hatima yake
Na kipi kifanyike ili kuwasaidia watoto maana wazazi pia wametumia ada hawahusiki na hili.

Nisaidien kama wanaweza kwenda secondary na kama wanaweza wanaendaje bila matokeo na kama wataenda private je prem wanatoa wap
Prem no iko hapo kwenye jina ukiangalia vizuri,watoto hawajafutiwa mtihani ila shule ndiyo imefutiwa vituo mpaka hapo baraza litakapojiridhisha kuwa kituo kipo salama kwa ajili ya mtihani ujao,kwa maana hiyo wale wote walioandikiwa W matokeo yao watapewa.
 
Naomba kuuliza na kupata ufafanuzi hivi mtoto katika hili suala la wizi wa mitihani anaingiaje. Je mtoto anasaidikaje maana kosa lake silioni
Mtoto kasoma zaid ya miak kum leo unamfutia matokeo je nini hatima yake
Na kipi kifanyike ili kuwasaidia watoto maana wazazi pia wametumia ada hawahusiki na hili.

Nisaidien kama wanaweza kwenda secondary na kama wanaweza wanaendaje bila matokeo na kama wataenda private je prem wanatoa wap
Prem no iko hapo column ya pili mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20221201-212219_Chrome.jpg
    Screenshot_20221201-212219_Chrome.jpg
    177.2 KB · Views: 10
Prem no iko hapo kwenye jina ukiangalia vizuri,watoto hawajafutiwa mtihani ila shule ndiyo imefutiwa vituo mpaka hapo baraza litakapojiridhisha kuwa kituo kipo salama kwa ajili ya mtihani ujao,kwa maana hiyo wale wote walioandikiwa W matokeo yao watapewa.

Ni kwel ila hayana matokeo mwisho wa hao watoto ni nini? Wao wanasaidiikaje hapo nini
 
Kwanini wakati watoto nao wamehusika kuibia mitihani?

Hao ni watoto wadogo kaka kuna ambao bila shaka naamini hata hayo majibu hawajapata ila wamefutiwa
 
HEAGTON PRE AND PREMARY YAIBUKA KIDEDEA KWA WASTANI WA 296.1538 wana historia nzuri maana wao hata graduation hawanaga kwao ni MAOMBI WATOTO HUFUNGA WIKI NZIMA WAKIOMBA pia shule waliimu wamebobea kwa ufundishaji ..
IMG-20221201-WA0008.jpg
 
Walimu wa sekondari hawalembi waza na walimu wakuu wa msingi achanani na wiz wa mitihan fundishen
 
Kwanini wakati watoto nao wamehusika kuibia mitihani?
Si nimesema lakini waliohusika? Kama nao wanahusika watapanda, Haya watoto wamefutiwa matokeo, Walimu nao wanalipia gharama gani??
 
Back
Top Bottom