Nini hatima ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya utambulisho wa Super Cup?

Lee

JF-Expert Member
Jul 31, 2013
43,905
150,212
Wanabodi wapenda michezo kuamkia siku ya leo majarida mengi ya michezo duniani kote yameandika ujio wa supercup kwa baadhi ya timu za ulaya.

Ujio huu wa supercup unakuwa tishio kwa ligi zingine ulaya hasa hii kubwa tuliyoizoea ya UEFA , na kwa kuzingatia mshindi na mgawo wa haya mashindano ni mpunga mrefu sana.

Kamati tendaji inakaa ndani ya masaa machache yajayo kutoa tamko.

Swali je PSG anaweza kupewa ubingwa wa mezani kwa kuwa timu zilizotinga nusu fainali nimeonesha nia chanya ya kushirili supercup ( European super league)? Hapa Chelsea , Madrid mancity nini hatima yake?

Karibuni.
 
Hio ni kama vita ya "CCM kwa "CCM" ndani ya chamwino/lumumba. Mwisho wa siku "PSG" anateuliwa kuwa "MBUNGE WA VITI MAALUM".

PSG akishateuliwa kuwa mbunge wa viti maalum, na yeye baada ya muda mfupi anageuka kuwa mbunge wa upinzani na kuwageuka waliomteua (Kwa kujiunga na European Super League na kuwageuka UEFA).
 
Hio ni kama vita ya "CCM kwa "CCM" ndani ya chamwino/lumumba. Mwisho wa siku "PSG" anateuliwa kuwa "MBUNGE WA VITI MAALUM".

PSG akishateuliwa kuwa mbunge wa viti maalum, na yeye baada ya muda mfupi anageuka kuwa mbunge wa upinzani na kuwageuka waliomteua (Kwa kujiunga na European Super League na kuwageuka UEFA).
Unaleta uccm kwenye Mpira.

Wacha wewe
 
Hio ni kama vita ya "CCM kwa "CCM" ndani ya chamwino/lumumba. Mwisho wa siku "PSG" anateuliwa kuwa "MBUNGE WA VITI MAALUM".

PSG akishateuliwa kuwa mbunge wa viti maalum, na yeye baada ya muda mfupi anageuka kuwa mbunge wa upinzani na kuwageuka waliomteua (Kwa kujiunga na European Super League na kuwageuka UEFA).
it does'nt work lyt that
 
Hio ni kama vita ya "CCM kwa "CCM" ndani ya chamwino/lumumba. Mwisho wa siku "PSG" anateuliwa kuwa "MBUNGE WA VITI MAALUM".

PSG akishateuliwa kuwa mbunge wa viti maalum, na yeye baada ya muda mfupi anageuka kuwa mbunge wa upinzani na kuwageuka waliomteua (Kwa kujiunga na European Super League na kuwageuka UEFA).
 
Hio ni kama vita ya "CCM kwa "CCM" ndani ya chamwino/lumumba. Mwisho wa siku "PSG" anateuliwa kuwa "MBUNGE WA VITI MAALUM".

PSG akishateuliwa kuwa mbunge wa viti maalum, na yeye baada ya muda mfupi anageuka kuwa mbunge wa upinzani na kuwageuka waliomteua (Kwa kujiunga na European Super League na kuwageuka UEFA).
Kwamba wanampa uteule wa ubingwa alafu mambo ya legacy anaenda kudemka na wenzake kwenye supercup
 
Back
Top Bottom