Tabia ya uchawi na ushirikina inazidi kuongezeka hasa mikoa ya kanda ya ziwa pamoja na Shinyanga, huko Nkome GEITA walimu wameikimbia shule kwa kuteswa na wachawi.Hivi wenye tabia hizi wanafaidi nn zaidi ya kumkosea MUNGU?
Hakuna faida zaidi ya umasikini maishani. Mashaka makuu juu ya kifo chake mchawi maana anajijua kabisa akifa ni motoni milele na milele. Wengine wanatamani kuacha lakini wanashindwa kwasababu ya mikataba ambayo tayari wameingia na majini vibaraka vya shetani. Kuacha ni mpaka Yesu mwenyewe aingilie kati na kukupa ulinzi wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.