Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
Wana Ukumbi, salam kwenu, mm ni mtz mjasiriamali mdogo sana, infact ndo naanza ujasiri. Nina maono ya kuikuza biashara yangu na kuwa ya kubwa. Sasa, naomba mnijuze, nini faida ya kujisajili na TIN na kuwa mlipakodi katika hatua hz za mwanzo. Kuna ulazima wowote kwa sasa? Ndugu asanteni sana na barikiwa sana!