Ningeshangaa sana kuelekea hizi Mechi Mbili Kubwa na za Maamuzi Ajali Mbaya zisitokee nchini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,611
108,982
Juzi tumeanza kwa kutoa Sadaka kwa Watoto Yatima na Wasiojiweza na Leo Alrajiri Jini ameshashibishwa Chakula chake pendwa cha Damu huku Watu Maalum wakifuata Kitu fulani Ajalini ambacho Babu alisema kyinahitajika na baada ya kupatikana sasa Jini Kafurahi mno hivyo Farao hatoamini Macho na Masikio yake pale Temeke.

Wa leo hupenda Damu za Ajalini kwa Mafanikio yake na wa Kesho hupenda Maiti hasa kwa Kuifukia Ufukweni au Uwanjani.
 
Popoma utapata akili lini?
Watu wamekufa upo hapa unakejeli kwani wewe hujawahi kufiwa
Kuwa mstaarabu unazudisha machungu kwq familia za wafiwa.
Kwani ajali zote ni kafara
Nadhani shule haijakusaidia upo unaamini ushirikina
Tumbafu kabisa popoma

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo hapa Kwetu Mkoani Gisenyi nchini Rwanda na hakuna Ajali yoyote ile. Ni Ajali gani imetokea na wapi?
 
Juzi tumeanza kwa kutoa Sadaka kwa Watoto Yatima na Wasiojiweza na Leo Alrajiri Jini ameshashibishwa Chakula chake pendwa cha Damu huku Watu Maalum wakifuata Kitu fulani Ajalini ambacho Babu alisema kyinahitajika na baada ya kupatikana sasa Jini Kafurahi mno hivyo Farao hatoamini Macho na Masikio yake pale Temeke.

Wa leo hupenda Damu za Ajalini kwa Mafanikio yake na wa Kesho hupenda Maiti hasa kwa Kuifukia Ufukweni au Uwanjani.
Mkuu hii kweli kabisa
 

Attachments

  • FB_IMG_17104615197292776.jpg
    FB_IMG_17104615197292776.jpg
    204.9 KB · Views: 1
Juzi tumeanza kwa kutoa Sadaka kwa Watoto Yatima na Wasiojiweza na Leo Alrajiri Jini ameshashibishwa Chakula chake pendwa cha Damu huku Watu Maalum wakifuata Kitu fulani Ajalini ambacho Babu alisema kyinahitajika na baada ya kupatikana sasa Jini Kafurahi mno hivyo Farao hatoamini Macho na Masikio yake pale Temeke.

Wa leo hupenda Damu za Ajalini kwa Mafanikio yake na wa Kesho hupenda Maiti hasa kwa Kuifukia Ufukweni au Uwanjani.
Mkuu huwa hamjui kuheshimu misiba ya watu? Unaandika kama aliekufa ni mbuzi.
 
Juzi tumeanza kwa kutoa Sadaka kwa Watoto Yatima na Wasiojiweza na Leo Alrajiri Jini ameshashibishwa Chakula chake pendwa cha Damu huku Watu Maalum wakifuata Kitu fulani Ajalini ambacho Babu alisema kyinahitajika na baada ya kupatikana sasa Jini Kafurahi mno hivyo Farao hatoamini Macho na Masikio yake pale Temeke.

Wa leo hupenda Damu za Ajalini kwa Mafanikio yake na wa Kesho hupenda Maiti hasa kwa Kuifukia Ufukweni au Uwanjani.
Genta ulisema mwezi Ramadhan majini hayafanyi ulozi au umesahau
 
Back
Top Bottom