GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,611
- 108,982
Juzi tumeanza kwa kutoa Sadaka kwa Watoto Yatima na Wasiojiweza na Leo Alrajiri Jini ameshashibishwa Chakula chake pendwa cha Damu huku Watu Maalum wakifuata Kitu fulani Ajalini ambacho Babu alisema kyinahitajika na baada ya kupatikana sasa Jini Kafurahi mno hivyo Farao hatoamini Macho na Masikio yake pale Temeke.
Wa leo hupenda Damu za Ajalini kwa Mafanikio yake na wa Kesho hupenda Maiti hasa kwa Kuifukia Ufukweni au Uwanjani.
Wa leo hupenda Damu za Ajalini kwa Mafanikio yake na wa Kesho hupenda Maiti hasa kwa Kuifukia Ufukweni au Uwanjani.