Hiyo ni kawaida ya kigali,tatizo ni ugeni wako tu.
hapo ni katikati ya DRC kule Gisenyi,UGANDA kule Chanika na BURUNDI kule Butare.nchi hizo zote si shwari na usisahau FDRL bado wapo msituni VIRUNGA.Na Gen kayumba nyamwasa bado ana ushawishi ndani ya rwanda.Kwa hiyo kila siku jioni :ni ratiba ya kawida askari kusambazwa Remela,nyamirambo,kichukiro,kimironko,nyamitarama na kigali yoote.usisahau Kagame haishi "ikulu"bali katikai ya kigali mchanganyiko.