Ninayo Nia., Nionyeshe Njia!

Ninayo Nia., Nionyeshe Njia!

Queen Rover

Member
Joined
Apr 29, 2015
Posts
88
Reaction score
79
Habari Wana JF wote...
Nakuja mbele zenu nikiwa nimeibeba nia yangu hii..naombeni njia tafadhali
..
Mimi ni binti mwenye Miaka 21.. Mrefu na mwili kiasi... Nasoma moja ya chuo hapa Dar es salaam kwa ngazi ya cheti nikitazamia kuanza diploma mwez wa 9.
Tangia nipo mdogo mpaka nakua hadi Leo nimejigundua kuwa na vipaji tofauti tofauti na vyote naweza kuvifanyia kazi... Mimi ni mchapakazi sana na nina hasira sana ya kuitafuta pesa kwa njia yoyote ile isiyo haramu wala isiyokubalika..napenda kujishughulisha sana na mambo mbalimbali..sipendi kumtegemea mwanaume kwakuwa inaweza tokea siku akashindwa.

Nia yangu..
Ni kufanya kazi kwa bidii... Kazi itakayoniingizia chochote kitu... Nina mipango mingi sana ikiwemo kufungua sehemu ya kulea watoto yatima siku moja na kuwapatia maisha wanayoyatamani kila siku.
Sipendagi kukata tamaa kwakuwa naelewa njiani lazima ukutane na magumu na mazito mengi

Kwavyovyote vile unahisi tunaweza kufanya kazi wote..au kuniajiri.. Au kuniunganisha na sehemu nayoweza kuwa msaada. Tafadhali ni Pm
Safari yangu bado ndefu..
Asanteni.
 
Dada queen usijali Mungu atakusaidia tu, jifunze pia kumtegemea Mungu zaidi na si akili zako.
 
Habari Wana JF wote...
Nakuja mbele zenu nikiwa nimeibeba nia yangu hii..naombeni njia tafadhali
..
Mimi ni binti mwenye Miaka 21.. Mrefu na mwili kiasi... Nasoma moja ya chuo hapa Dar es salaam kwa ngazi ya cheti nikitazamia kuanza diploma mwez wa 9.
Tangia nipo mdogo mpaka nakua hadi Leo nimejigundua kuwa na vipaji tofauti tofauti na vyote naweza kuvifanyia kazi... Mimi ni mchapakazi sana na nina hasira sana ya kuitafuta pesa kwa njia yoyote ile isiyo haramu wala isiyokubalika..napenda kujishughulisha sana na mambo mbalimbali..sipendi kumtegemea mwanaume kwakuwa inaweza tokea siku akashindwa.

Nia yangu..
Ni kufanya kazi kwa bidii... Kazi itakayoniingizia chochote kitu... Nina mipango mingi sana ikiwemo kufungua sehemu ya kulea watoto yatima siku moja na kuwapatia maisha wanayoyatamani kila siku.
Sipendagi kukata tamaa kwakuwa naelewa njiani lazima ukutane na magumu na mazito mengi

Kwavyovyote vile unahisi tunaweza kufanya kazi wote..au kuniajiri.. Au kuniunganisha na sehemu nayoweza kuwa msaada. Tafadhali ni Pm
Safari yangu bado ndefu..
Asanteni.

Mambo Queen,

nakuwa na furaha sana mtoto wa kike anapojitambua na kuonesha nia yake ya kufanya kazi kwa bidii na kwa jitihada za kutosha.

kwanza nipende kukupongeza kwa kuwa una nia na umeitambua nia yako na kile kilicho ndani yako.

pili nipende tu kukupa Moyo ya kwamba unaweza kwa sababu umejitambua. Naomba nikukumbushe kuwa Yote utayaweza kwa kumwomba Mungu akusaidie. mtu anaweza kuja kwako ukamwona ni mtu mzuri wa kukuonesha hiyo njia unayoitafuta lakini kumbe ndo akakupoteza njia. shika mawazo yako yaliothabiti, peleka hoja yako kwa Mungu, mwombe yeye pekee akuoneshe njia kwa yeye ndie njia kweli na uzima.

sisemi hivi kidini au la, lakini uwe mkristo/muislamu, mwombe Mungu wako. yeye atakuletea njia hiyo unayoitafuta. si kwamba atashusha njia ghafla tu, hapana yeye anaweza kukuletea mtu ambaye atakuwa mwenye nia ya kweli (akatumiwa na Mungu) ya kukuonesha hiyo njia.

mwisho nikupe Moyo, utaweza kwa kadri Mungu atakavyo kujalia, wakati unaendela na kumwomba Mungu pia tia juhudi sana katika masomo yako huku ukimwomba Mungu.
 
Kama sijakuelewa hv maana bado unasoma, si umalize kwanza masomo ndo uingie sasa kwenye field? ama!
 
Habari Wana JF wote...
Nakuja mbele zenu nikiwa nimeibeba nia yangu hii..naombeni njia tafadhali
..
Mimi ni binti mwenye Miaka 21.. Mrefu na mwili kiasi... Nasoma moja ya chuo hapa Dar es salaam kwa ngazi ya cheti nikitazamia kuanza diploma mwez wa 9.
Tangia nipo mdogo mpaka nakua hadi Leo nimejigundua kuwa na vipaji tofauti tofauti na vyote naweza kuvifanyia kazi... Mimi ni mchapakazi sana na nina hasira sana ya kuitafuta pesa kwa njia yoyote ile isiyo haramu wala isiyokubalika..napenda kujishughulisha sana na mambo mbalimbali..sipendi kumtegemea mwanaume kwakuwa inaweza tokea siku akashindwa.

Nia yangu..
Ni kufanya kazi kwa bidii... Kazi itakayoniingizia chochote kitu... Nina mipango mingi sana ikiwemo kufungua sehemu ya kulea watoto yatima siku moja na kuwapatia maisha wanayoyatamani kila siku.
Sipendagi kukata tamaa kwakuwa naelewa njiani lazima ukutane na magumu na mazito mengi

Kwavyovyote vile unahisi tunaweza kufanya kazi wote..au kuniajiri.. Au kuniunganisha na sehemu nayoweza kuwa msaada. Tafadhali ni Pm
Safari yangu bado ndefu..
Asanteni.

Ok, karibu Tigo usambaze huduma toka Tigo , huduma kama Lain za Tigo , modems na simu bila kusahau vocha !
W
 
hongera sana da Queen kwa kua na moyo wa kuchakarika . mm kama ww ni mwanafunzi ila jinsia yangu ni ME .karibu kwenye ulimwengu wa mapambano .japo sio rahisi ila ukikaza mungu wako hatakutupa . asikudanganye mtu eti usubiri mpaka umalize muda ndio huu ,hasa kwakua unasoma cheti mpaka ufike walau elimu ya shahada una kama miaka sita darsani ,sasa bila kufanyà chochote utashangaa unaichoka shule na kuishia kutafunwa na jamaa. Fanya yote ila usisahau kitabu kwani ndio jambo kuu. kila la kheri
 
Habari Wana JF wote...
Nakuja mbele zenu nikiwa nimeibeba nia yangu hii..naombeni njia tafadhali
..
Mimi ni binti mwenye Miaka 21.. Mrefu na mwili kiasi... Nasoma moja ya chuo hapa Dar es salaam kwa ngazi ya cheti nikitazamia kuanza diploma mwez wa 9.
Tangia nipo mdogo mpaka nakua hadi Leo nimejigundua kuwa na vipaji tofauti tofauti na vyote naweza kuvifanyia kazi... Mimi ni mchapakazi sana na nina hasira sana ya kuitafuta pesa kwa njia yoyote ile isiyo haramu wala isiyokubalika..napenda kujishughulisha sana na mambo mbalimbali..sipendi kumtegemea mwanaume kwakuwa inaweza tokea siku akashindwa.

Nia yangu..
Ni kufanya kazi kwa bidii... Kazi itakayoniingizia chochote kitu... Nina mipango mingi sana ikiwemo kufungua sehemu ya kulea watoto yatima siku moja na kuwapatia maisha wanayoyatamani kila siku.
Sipendagi kukata tamaa kwakuwa naelewa njiani lazima ukutane na magumu na mazito mengi

Kwavyovyote vile unahisi tunaweza kufanya kazi wote..au kuniajiri.. Au kuniunganisha na sehemu nayoweza kuwa msaada. Tafadhali ni Pm
Safari yangu bado ndefu..
Asanteni.
unachapa kazi sawa je kazi gani ?
mrefu sawa je ndo kigezo cha kazi ?
unasoma chuo sawa unasomea kitu gani ?
je una taka kazi gani ?
je mtu akitaka kukusaidia akusaidie vp ?
 
Habari Wana JF wote...
Nakuja mbele zenu nikiwa nimeibeba nia yangu hii..naombeni njia tafadhali
..
Mimi ni binti mwenye Miaka 21.. Mrefu na mwili kiasi... Nasoma moja ya chuo hapa Dar es salaam kwa ngazi ya cheti nikitazamia kuanza diploma mwez wa 9.
Tangia nipo mdogo mpaka nakua hadi Leo nimejigundua kuwa na vipaji tofauti tofauti na vyote naweza kuvifanyia kazi... Mimi ni mchapakazi sana na nina hasira sana ya kuitafuta pesa kwa njia yoyote ile isiyo haramu wala isiyokubalika..napenda kujishughulisha sana na mambo mbalimbali..sipendi kumtegemea mwanaume kwakuwa inaweza tokea siku akashindwa.

Nia yangu..
Ni kufanya kazi kwa bidii... Kazi itakayoniingizia chochote kitu... Nina mipango mingi sana ikiwemo kufungua sehemu ya kulea watoto yatima siku moja na kuwapatia maisha wanayoyatamani kila siku.
Sipendagi kukata tamaa kwakuwa naelewa njiani lazima ukutane na magumu na mazito mengi

Kwavyovyote vile unahisi tunaweza kufanya kazi wote..au kuniajiri.. Au kuniunganisha na sehemu nayoweza kuwa msaada. Tafadhali ni Pm
Safari yangu bado ndefu..
Asanteni.


ungesema unashida ya kazi itakayokuingizia kipato ili ukamilishe ndoto yako ya kumalaiza shule ungeeleweka sana!! lakini ukisema unataka kuajiriwa sasa wakati ndio kwanza hata certificate hujamaliza unatia shaka!! na unapotoa sifa ya jinsi ulivyo pia unatia shaka!! vigezo vya kupata kazi ni CV na hii ni popote pale duniani kigezo cha kwanza ni CV na kwenye CV huwa hatuandiki mwonekano wa mwili kama wewe ulivyoweka kama kigezo namaba moja!

Ushauri wangu maliza shule!!
 
Kalagabao kanena jambo,

japo yawezekana ukapata kazi na kuso party time ( madarasa ya jioni ) ila hebu sogea sogea ktk ngazi ya elim, angalau bachelor Degree, ziada refer ujumbe wa MADAM D, BADO NIPO.
 
Back
Top Bottom