Ni Rais wa wote na kodi utakatwa kwenye mshahara au biashara yako na kupelekwa kwake kwa ajili ya utendaji wa serikali. Usijidanganye ya Rwanda , Kenya , Burundi nk hayatatokea Tanzania. Mmeshindwa kuweni wapole , jipangeni hamkuwa na jipya safari hii ndio maana wengi wa watanzania hawakuwachagua.