Mpenda CCM
Member
- Nov 3, 2010
- 44
- 0
Amani Kwanza
Amani Kwanza
Matokeo ya Bagamoyo au ya Urais nchi nzima?Atakuwa rais wa wakwere ila sio sisi wengine. Najua mnafurahia umasikini wenu huo na hamna cha kupoteza, so go to hell with your ccm. Soon or later you will know what is the source of all evils that happened in Kenya,Rwanda,Burundi and other places.
Matokeo ya Bagamoyo au ya Urais nchi nzima?Atakuwa rais wa wakwere ila sio sisi wengine. Najua mnafurahia umasikini wenu huo na hamna cha kupoteza, so go to hell with your ccm. Soon or later you will know what is the source of all evils that happened in Kenya,Rwanda,Burundi and other places.
Nitatapika sasahivi.
AMANI YA WIZI!! CHUPI YAKO!!!!
Ni Rais wa wote na kodi utakatwa kwenye mshahara au biashara yako na kupelekwa kwake kwa ajili ya utendaji wa serikali. Usijidanganye ya Rwanda , Kenya , Burundi nk hayatatokea Tanzania. Mmeshindwa kuweni wapole , jipangeni hamkuwa na jipya safari hii ndio maana wengi wa watanzania hawakuwachagua.
CCM amani kwako.... na umenifurahisha sana wewe kama CCM kusaini kwa jina hilo, it shows how low you have gone, from the mighty Nyerere days to a shipwreck master mkwere and his family and allies
so wewe ni makamba, mkweer au kinana? maana CCM ni chama na sio mtu, au wewe ndio chiligati? msemaji?So ulitaka nisaini kwa jina gani. How is someone goes low by supporting CCM? Your dream was CHADEMA or CUF to score 100%! Not possible in any democratic setting. Mgefurahi tu na hako kaushindi kadogo mlikopata na mkatulia kupanga mikakati ya kutukabili tena 2015 mkitambua kuwa hatujalala bado.
so wewe ni makamba, mkweer au kinana? maana CCM ni chama na sio mtu, au wewe ndio chiligati? msemaji?
Nitatapika sasahivi.
AMANI YA WIZI!! CHUPI YAKO!!!!
Ni Rais wa wote na kodi utakatwa kwenye mshahara au biashara yako na kupelekwa kwake kwa ajili ya utendaji wa serikali. Usijidanganye ya Rwanda , Kenya , Burundi nk hayatatokea Tanzania. Mmeshindwa kuweni wapole , jipangeni hamkuwa na jipya safari hii ndio maana wengi wa watanzania hawakuwachagua.
Na ukiisha kutukana hivyo utamfanya Slaa kuwa rais? Kweli akili ya mjinga humtosha yeye mwenyewe.......
So ulitaka nisaini kwa jina gani. How is someone goes low by supporting CCM? Your dream was CHADEMA or CUF to score 100%! Not possible in any democratic setting. Mgefurahi tu na hako kaushindi kadogo mlikopata na mkatulia kupanga mikakati ya kutukabili tena 2015 mkitambua kuwa hatujalala bado.