Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Unajua jeshini ni amri tu, na unatimiza bila kuhoji, na huwezi kuadhibiwa kwa kuitekeleza kama ulivyotumwa - ila wakiona soo wanakulimboka kimya kimya. Sasa kila mtu hapa anamlalamikia Kova. Alikuwa na chaguzi 1 kati ya mbili ambazo ni kutekeleza amri ya mkuu au ku-resign na kusamehe mafao yake yote (kisha awasubiri waje kumlimboka au kukimbilia nchi salama). Wakati mnamlalamikia Kova, mkuu anakunywa wiski na kupanga nani afuatie kwenye orodha ya kupelekwa mabwepande. Jamani tupige kichwa cha nyoka na sio mkia!