Bei ya kawaida ndyo sh ngapi mkuu?, weka price ili mtu ajue kama akufate for negotiations ama vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo wapi? Maana unaweza ukawa upo kenya! Sasa usafiri siunajua.Nauza vifaa vya kufanyia biashara ya chips.
Kabati square meter 1
Meza 2 za kucomelea na 1 ya mable
Jiko kubwa la Gas na mtungi wa gas wa kilo 15
High pressure regulator
Makarai 2 ya chips
Nauza bei ya kawaida sana
Nipigie 0653-178586
Whatsapp no 0620729600
Sent using Jamii Forums mobile app
Uje kwetu Tarime pia mkuu
Hahaaa, ntakaribia mkuu, Tarime ndyo natokeaaaUje kwetu Tarime pia mkuu
Daah Karibu,ukija huku nitakuwa mwenyeji wako
Ewaaa hayo ndyo mambo ,ukiweka hivo bei inakua rahisi Kwa wahitaji. Kila rakheri
Vilete huku Pwani 2 Investiment AgencyNauza vifaa vya kufanyia biashara ya chips.
Kabati square meter 1
Meza 2 za kucomelea na 1 ya mable
Jiko kubwa la Gas na mtungi wa gas wa kilo 15
High pressure regulator
Makarai 2 ya chips
Nauza bei ya kawaida sana
Nipigie 0653-178586
Whatsapp no 0620729600
Sent using Jamii Forums mobile app