Ninauza simu aina ya Tecno W5

kitumbotala

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
516
Reaction score
625
Ninauza simu hii ninayoitumia Tecno W5 ni nzuri haina tatizo, nauza kutokana na dharura iliyonipata, now bado ni mpya na ni nzuri
Bei ni 150,000/=

Nioe namba nikupigie
 
Ninauza simu hii ninayoitumia Tecno W5 ni nzuri haina tatizo, nauza kutokana na dharura iliyonipata, now bado ni mpya na ni nzuri
Bei ni 150,000/=

Nioe namba nikupigie
Sasa wewe utatumia nini Mkuu?
 
Ninauza simu hii ninayoitumia Tecno W5 ni nzuri haina tatizo, nauza kutokana na dharura iliyonipata, now bado ni mpya na ni nzuri
Bei ni 150,000/=

Nioe namba nikupigie
Wewe ni me au ke?
 
Ninauza simu hii ninayoitumia Tecno W5 ni nzuri haina tatizo, nauza kutokana na dharura iliyonipata, now bado ni mpya na ni nzuri
Bei ni 150,000/=

Nioe namba nikupigie
nina 85 hapa. upo wapi niikague km utapenda hicho kiasi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…