Samahani Mkurugenzi, mtu akinunua hiyo mashine anaweza kubadilisha jina likasoma la kwake? Au itabakia na jina lako ulilo nunulia!
Na inaweza kutumika hata nje ya Dar? Mafani mimi niko huku Lushoto, Tanga. Si inatoa pia na risiti kama zile mashine nyingine za CRDB, NMB, nk?