Ninauza line ya uwakala wa M-PESA fasta.

Ninauza line ya uwakala wa M-PESA fasta.

PillowTalk

Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
95
Reaction score
5
Habari wanajamvi,
Kwa wale wajasiriamali ninauza line ya uwakala wa M-PESA haraka kwa bei rahisi kabisa ya Tshs 140,000/= tu.
Mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa simu namba 0689 868640
Karibuni.
 
Habari wanajamvi,
Kwa wale wajasiriamali ninauza line ya uwakala wa M-PESA haraka kwa bei rahisi kabisa ya Tshs 140,000/= tu.
Mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa simu namba 0689 868640
Karibuni.
Mbona bei rahisi hivyo?? au magumashi, wabongo tumezoea kupigwa parefu ujue....!!
 
Hv hii biashara faida yake ikoje? Then nikishanunua hyo line waa gwaan?
 
Serikali washaharibu hii biashara ya mobile banking kw kupandisha kodi pasipo
kufanya intensive research,watu wapunguza sana kutuma pesa kwa kutumia simu
kwa kuhofiwa kukatwa hela nyingi...Kwakweli ccm wanatupandishia maisha kila sekta
 
Serikali washaharibu hii biashara ya mobile banking kw kupandisha kodi pasipo
kufanya intensive research,watu wapunguza sana kutuma pesa kwa kutumia simu
kwa kuhofiwa kukatwa hela nyingi...Kwakweli ccm wanatupandishia maisha kila sekta

huu ni ukweli ambao wachache wanaufahamu, gharama ziko juu sana!
 
Mi ya kwangu naouza anayeitaka aje aichukue laki mbili tu.ni ya uhakika ni pm anayehitaji
 
Hv hii biashara faida yake ikoje? Then nikishanunua hyo line waa gwaan?

Hiyo sio biashara ni huduma,haiwezekani ktk miamala yenye thamani ya tsh.1milion unapata kamesheni ya elfu 10!ndio maana watu wanaachana nayo,hapo upate kulipa kodi ya frem,mfanyakazi na wewe upate japo kidogo,panakuwa pagumu.
 
Habari wanajamvi,
Kwa wale wajasiriamali ninauza line ya uwakala wa M-PESA haraka kwa bei rahisi kabisa ya Tshs 140,000/= tu.
Mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa simu namba 0689 868640
Karibuni.
Nashukuru kwa wajasiriamali wote walio wasiliana nami.Hii ni kuwataarifu kwamba nimekwisha uza huo uwakala.Asanteni sana.
 
Kwa anayehitaji line ya uwakala wa mpesa anipigie 0762525846 bei laki 3
 
Back
Top Bottom