kitali JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 6,296 Reaction score 9,611 Oct 8, 2014 #1 kina ukubwa wa sg mita 1300. ni cha tano kutoka baharin bei ni milion 150. mwenye kuhitaji anipigie 0717540699 hakina dalali
kina ukubwa wa sg mita 1300. ni cha tano kutoka baharin bei ni milion 150. mwenye kuhitaji anipigie 0717540699 hakina dalali
Makamee JF-Expert Member Joined Nov 29, 2013 Posts 2,029 Reaction score 1,201 Oct 8, 2014 #2 Nakushauri mwanangu usiuze ardhi ni mali,
Mihayo JF-Expert Member Joined Apr 12, 2010 Posts 268 Reaction score 63 Oct 8, 2014 #3 Bei yako iko juu kidogo mkuu. Maana 2010sq 120m. Kama unaweza shuka tuwasiliane.mkuu nahitaji
deepsea JF-Expert Member Joined Aug 10, 2013 Posts 3,287 Reaction score 947 Oct 8, 2014 #4 Punguza kidogo mkuu
kitali JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 6,296 Reaction score 9,611 Oct 8, 2014 Thread starter #5 Mihayo said: Bei yako iko juu kidogo mkuu. Maana 2010sq 120m. Kama unaweza shuka tuwasiliane.mkuu nahitaji Click to expand... kiongozi nipigie kwenye hyo no niliyoiweka hapo.
Mihayo said: Bei yako iko juu kidogo mkuu. Maana 2010sq 120m. Kama unaweza shuka tuwasiliane.mkuu nahitaji Click to expand... kiongozi nipigie kwenye hyo no niliyoiweka hapo.
kitali JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 6,296 Reaction score 9,611 Oct 8, 2014 Thread starter #6 deepsea said: Punguza kidogo mkuu Click to expand... nipigie kiongoz kama upo serious
kitali JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 6,296 Reaction score 9,611 Oct 8, 2014 Thread starter #7 Makamee said: Nakushauri mwanangu usiuze ardhi ni mali, Click to expand... ni kweli ardhi c ya kuuza ndugu ila pale ninavyo vinne na nauza kwa sababu maalum ya kwenda mbele mkuu.
Makamee said: Nakushauri mwanangu usiuze ardhi ni mali, Click to expand... ni kweli ardhi c ya kuuza ndugu ila pale ninavyo vinne na nauza kwa sababu maalum ya kwenda mbele mkuu.
A Albosignathus JF-Expert Member Joined Apr 26, 2013 Posts 4,898 Reaction score 1,051 Oct 8, 2014 #8 kitali said: nipigie kiongoz kama upo serious Click to expand... Mimi niko serious ila naogopa gharika bahari kunimeza.vipi huna kingine mbezi juu?
kitali said: nipigie kiongoz kama upo serious Click to expand... Mimi niko serious ila naogopa gharika bahari kunimeza.vipi huna kingine mbezi juu?
mfetere JF-Expert Member Joined Feb 27, 2014 Posts 251 Reaction score 95 Oct 9, 2014 #9 ninacho tegeta kina hati mil 70 nicheki 0714787795