Ninauza kabati za Alluminium za Pharmacy

Ninauza kabati za Alluminium za Pharmacy

patriphonce

New Member
Joined
Apr 7, 2015
Posts
2
Reaction score
0
ninauza kabati za aluminium kwa ajili ya kuhifadhia dawa.ni kabati nzuri na kubwa.napatikana maeneo ya mbezi mwisho.namba hizi zitakupa maelezo zaidi0687883420
 
na mimi ninalo la ft saba urefu kwa mawasiliano 0719105823 bei kwanzia 400000
 
na mimi ninalo la ft saba urefu kwa mawasiliano 0719105823 bei kwanzia 400000

Naona kila kona una biashara, nilitaka niongee nawe kuhusu freezer sasa nimekuogopa, mara simu mara kabati mara frizer mara smartphone du.
 
Naona kila kona una biashara, nilitaka niongee nawe kuhusu freezer sasa nimekuogopa, mara simu mara kabati mara frizer mara smartphone du.

Huyo ni broker...
 
usiogope kila kitu ni changu sema nahitaji hela nilikua nd duka la nguo na vinywaji ndo maana nauza kabati na freezer,sim naitumia mimi mwenyewe wala mimi sio dalari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom