NO No No CAG ni taasisi ambayo ipo kikatiba japo bwana yule alikua anaisigina katiba mchana kweupe. CAG ametekeleza wajibu wake kikatiba japo naamini ni taarifa ambayo haipo deep sana. KUtokana na muda mchache anaopewa kukagua matokeo yake ni kupita juu juu tu na makando kando mengi na ya kutisha huachwa. Kumbukeni ofisi ya CAG inaendeshwa na binadamu na sio malaika. As to my observation, my opinion is that, it is the gvt must be responsible, lkn unakuaje responsible uache utamu, ili iwaje, ni kuyafumbia macho , uchaguzi uje bila marekebisho tuendelee kupeta. Hivi mtoa mada unaijua vi eighty wewe, tuache bwana, CAG haondoki na sisi hatuondoki, jamani ni maoni yangu tu, kumbukeni mida hii kidogo swaumu imekaza na ukizingatia leo ni swaumu ya mwisho