Mwenzenu toka nimepevuka kiakili miaka yote ninapofatilia ripoti ya CAG ni ubadhirifu na hasara tu na hakuna wakuchukuliwa hatua huku wananchi tusiyo na mamlaka tunazidi kuchoka.
Sasa nashauri tupaze sauti CAG must go kwakuwa ni sawa na mbwa anayebweka huku anakimbilia ndani mana hata anapotusomea ripoti anatekeleza wajibu na wajibu hauna matokeo ya mabadiliko,cheo hicho kifutwe Nchini.
Pili kwakuwa msimamizi mkuu wa serikali Rais hajawahi kuchukuwa hatua kwa taasisi zilizotajwa kwenye riioti basi naye ajihudhuru kwakushindwa kusimamia hili.Kuwa kimya ni udhaifu.
Tunaumia sana wananchi.Uongozi chini ya ccm umeshindwa.CAG ametekeleza wajibu wake, SERIKALI chini ya rais ndio inapaswa kufanya maamuzi, hapo ni serikali ndio yakulaumiwa inafumbia macho uovu.
Acha CAG aendelee kuweka mambo hadharani, pengine kizazi chetu cha mazombie kitapotea, watakuja vijana wenye uthubutu, nchi ikakaa sawa.
Tumefanywa misukule kwenye Nchi yetu.CAG ametekeleza wajibu wake, SERIKALI chini ya rais ndio inapaswa kufanya maamuzi, hapo ni serikali ndio yakulaumiwa inafumbia macho uovu.
Acha CAG aendelee kuweka mambo hadharani, pengine kizazi chetu cha mazombie kitapotea, watakuja vijana wenye uthubutu, nchi ikakaa sawa.
Nawe unatuchanhanya bhana.NO No No CAG ni taasisi ambayo ipo kikatiba japo bwana yule alikua anaisigina katiba mchana kweupe. CAG ametekeleza wajibu wake kikatiba japo naamini ni taarifa ambayo haipo deep sana. KUtokana na muda mchache anaopewa kukagua matokeo yake ni kupita juu juu tu na makando kando mengi na ya kutisha huachwa. Kumbukeni ofisi ya CAG inaendeshwa na binadamu na sio malaika. As to my observation, my opinion is that, it is the gvt must be responsible, lkn unakuaje responsible uache utamu, ili iwaje, ni kuyafumbia macho , uchaguzi uje bila marekebisho tuendelee kupeta. Hivi mtoa mada unaijua vi eighty wewe, tuache bwana, CAG haondoki na sisi hatuondoki, jamani ni maoni yangu tu, kumbukeni mida hii kidogo swaumu imekaza na ukizingatia leo ni swaumu ya mwisho
Kila mwaka halo huwa hivi,Tuchukiwe hatua.
Kauli laini ile haikupaswa kitolewa na Rais.