structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,230
- 910
Mkuu chakula kinatoka kikiwa kwenye pakage. Kama ni wali kwa mfano, unapikwa kawaida ila unawekwa kwenye kikontena/ foil maalumu kwahiyo pale kwenye "ATM" hakuna kupakua ni kuchukua tuHiyo ukiiweka hotelini kama ni wali kiasi inahesabu punje kwa kutoa moja moja kama hela?
Hahahahaha mkuu wazo zuri mno ila utekelezaji wke unahitaji akili kubwaaaz mana wabongo wanaweza iba mpka ovena ynyewe!![/QUO
Kweli mkuu ndio maana nimelileta hapa kwenye uwanja mpana zaidi ili nipate mawazo na changamoto pia
Hilo oven itakuwa na ukubwa gani hadi iweze kumudu mahitaji ya watu! tuchukulie idadi ndogo tu ya watu 100 je litaweza kuweka vyakula vya watu 100 kwenye hilo oven yako?Amani iwe kwenu wadau.
Nimekuwa nikitafakari namna watu wanavopata shida ya kupata msosi kwa wakati wanaotaka wao na nikagundua kuwa kumekuwa na changamoto kubwa sana. Mathalani mtu anaweza taka kula chakula saa kumi ila karibu sehemu nying zinakuwa zishsmaliza kuuza chakula kwa mchana na wanasubiri kuanza kile cha usiku. Lakini pia kuna wakati watu wametoka kwenye mizunguko yao usiku wa manane na wanataka kula chakula ila hawakipati. Sasa nimekuja na wazo hili la kuanzisha ATM za misosi.
Wazo hilo linakuwa katika utaratibu ufutao:
1: Utengenezaji/uagizwaji wa hizo ATM. Hizi zinatakiwa kuwa na kama oven kwa ndani kisha zinaweza kuwa na matundu kama sita (6 lines) hivi yakuruhusu aina tofauti tofauti ya vyakula kutoka.
2: Hizo ATM zinawekwa sehemu zenye watu wengi mathalani kariakoo na kwingineko.
3: Vyakula vitakuwa vinapikwa kawaida,kisha vinawekwa kwenye package zake halafu zinapangwa kwenye visahani ndani ya oven iliyopo kwenye ATM. Katika kila line kunakuwa na aina ya chakula kimoja.
5: Then mtu akitaka kula anafika kwenye ATM (ambayo zile line 6 zitakuwa zinaonesha vyakula, mfano, walinyama, pilau, biriani kwa line tatu za juu halafu 3 za chini zinaonesha mathalani vyakula vya asili kama ndizi nyama, makande, ugali dona) anaweka fesa na anabonyeza laini ya chakula anachokihitaji na kwenda kupata msosi wake ukiwa wa moto freeesh.
6: Baaadae ATM hizi zitaunganishwa za accounts za wateja ili wakitaka kulipa walipe directly kupitia acounts zao. Hii sasa itatoa fursa ya pili ya ushirikiano na benki pamoja na mitandao ya simu.
Hilo ni wazo tu wadau nakaribisha michango, Je mnalionaje? Karibuni kwa mjadala.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaha mkuu wazo zuri mno ila utekelezaji wke unahitaji akili kubwaaaz mana wabongo wanaweza iba mpka ovena ynyewe!!
Netwok inaweza kuwa changamoto. Hata hivyo bado kunauwezekano wa kuikabili. Kuhusu idadi ya sahani, sahani inatoka moja kwa kila awamu moja ya malipo. Kwa kuanza idadi itakuwa ndogo ila watu wengi wakishafahamu idadi itaongezeka hivyo kuchacha itatokea bahati mbaya tu kwani chakula kitawekwa kulingana na uwezo wa.uhitaji.Network ikisumbua vyakula vinakuchachia. Mashine ikikosea inatoa sahani 50 wakati mtu kaagiza 1
Mkuu inawezekana unajua hii ATM inakuwa desgned kwa lengo hilo. Pili mule.ndani vyakula vinakuwa vimewekwa kwenye special package kwahiyo vinaweza.kaaa vingi tu.Hilo oven itakuwa na ukubwa gani hadi iweze kumudu mahitaji ya watu! tuchukulie idadi ndogo tu ya watu 100 je litaweza kuweka vyakula vya watu 100 kwenye hilo oven yako?
Mkuu ahsante sana. Ntakucheki tujue tunafanyaje.wazo zuri sana mimi nataka kuchukua tenda ya kutengeza hizo ATM tena kwa bei nafuu na nitakutengenezea aina mbilli yaani ya manualy na ya umeme
Amani iwe kwenu wadau.
Nimekuwa nikitafakari namna watu wanavopata shida ya kupata msosi kwa wakati wanaotaka wao na nikagundua kuwa kumekuwa na changamoto kubwa sana. Mathalani mtu anaweza taka kula chakula saa kumi ila karibu sehemu nying zinakuwa zishsmaliza kuuza chakula kwa mchana na wanasubiri kuanza kile cha usiku. Lakini pia kuna wakati watu wametoka kwenye mizunguko yao usiku wa manane na wanataka kula chakula ila hawakipati. Sasa nimekuja na wazo hili la kuanzisha ATM za misosi.
Wazo hilo linakuwa katika utaratibu ufutao:
1: Utengenezaji/uagizwaji wa hizo ATM. Hizi zinatakiwa kuwa na kama oven kwa ndani kisha zinaweza kuwa na matundu kama sita (6 lines) hivi yakuruhusu aina tofauti tofauti ya vyakula kutoka.
2: Hizo ATM zinawekwa sehemu zenye watu wengi mathalani kariakoo na kwingineko.
3: Vyakula vitakuwa vinapikwa kawaida,kisha vinawekwa kwenye package zake halafu zinapangwa kwenye visahani ndani ya oven iliyopo kwenye ATM. Katika kila line kunakuwa na aina ya chakula kimoja.
5: Then mtu akitaka kula anafika kwenye ATM (ambayo zile line 6 zitakuwa zinaonesha vyakula, mfano, walinyama, pilau, biriani kwa line tatu za juu halafu 3 za chini zinaonesha mathalani vyakula vya asili kama ndizi nyama, makande, ugali dona) anaweka fesa na anabonyeza laini ya chakula anachokihitaji na kwenda kupata msosi wake ukiwa wa moto freeesh.
6: Baaadae ATM hizi zitaunganishwa za accounts za wateja ili wakitaka kulipa walipe directly kupitia acounts zao. Hii sasa itatoa fursa ya pili ya ushirikiano na benki pamoja na mitandao ya simu.
Hilo ni wazo tu wadau nakaribisha michango, Je mnalionaje? Karibuni kwa mjadala.
Mkuu ngoja nicheki hii ishu kwenye utube labada naweza kupata ideas.Niliona idea inayofanana na hiyo kwenye channel ya discovery science ila yenyewe ilikua automatic pizza maker unaingiza hela then pizza inatoka
Mkuu ni kweli kuwa watu wanamahitaji mengi amabayo sio rahisi kutimiza yote. Hata hivyo lengo hapa nikujaribu kuweka vyakula katika ubora unaotakiwa. Vyakula hivi vinakuwa na mboga muhimu karibu zote. Mfano wali nyama let say kwa Tsh 3200 unapata ukiwa na maharage na mboga za majani kwenye package yake.Dah ni wazo zuri but, mpaka sasa zipo Milik Vendor Mashine, zipo za juice, zipo za soda na chokolati na kazalika, tatizo la hii ni kwamba mtu mfano anataka wali samaki na mboga na maharage sasa zijui zinakuja zikiwa zimefungwa?
Pamoja sana mkuu.Safi sana. Kweli Tanzania ya viwanda inakuja. Imetulia mno.
Pamoja sana mkuu.