Ninatafuta kibarua /kazi

Ninatafuta kibarua /kazi

Huwezi kukosa kazi za ulinzi. Ni nyingi mnoooo.

Labda upewe ushauri wa kampuni nzuri kidogo.

Hizi kazi watu wanazidharau ila watakuja shtuka it's too late
Mimi nimetafuta sana nikakosa makampuni mengi yanataka waliopitia jkt
 
Makampuni gani hayo yanayotaka waliopita JKT au umeambiwa hivyo ?


Hata SumaJKT wenyewe siku hizi wanachukua mpaka mtaani.
Nilienda turu security,nakuna kampuni nne zipo msasani wote waliniambia ningekua na mafunzo ya jkt au mgambo wangenichukua
 
Back
Top Bottom