Ninashindwa ku-update ios kwenye Mac

Ninashindwa ku-update ios kwenye Mac

FYATU

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2011
Posts
5,867
Reaction score
5,064
Mac ina ios version 10.8.5,kuna namna yoyote naweza kufanya Computer ubaki na matumizi?.
 
Mac hazitumii ios utakuwa unamaanisha macOS.

Kompyuta yenye macos version ya zamani itaendelea kufanya kazi ila kunaweza kutokea changamoto za hapa na pale hada katika kutumia apps mpya.

Apple sio kama Microsoft katika kuendelea kussuport computer zao wanaacha kussuport kama baada ya miaka 5 baada ya toleo ya hiyo computer inaacha kupata updates, so uwezo wako wa kufanya update inategemea na computer model na toleo. Unaweza kuangalia list hapa

Kwa bahati nzuri kuna watu wanafanya unofficial support ya hizi komputer ambazo apple imeacha kuzisupport, kuna software inaitwa OpenCore Lgacy Patcher inaruhusu kuinstall version mpya za macos nenda site yao angalia kama model yako iko supported fanya update ya apple hadi mwisho itakapofikia kisha nenda youtube tafuta jinsi ya kuuupdate version yako kwa kutumia open core.
 
Mac hazitumii ios utakuwa unamaanisha macOS.

Kompyuta yenye macos version ya zamani itaendelea kufanya kazi ila kunaweza kutokea changamoto za hapa na pale hada katika kutumia apps mpya.

Apple sio kama Microsoft katika kuendelea kussuport computer zao wanaacha kussuport kama baada ya miaka 5 baada ya toleo ya hiyo computer inaacha kupata updates, so uwezo wako wa kufanya update inategemea na computer model na toleo. Unaweza kuangalia list hapa

Kwa bahati nzuri kuna watu wanafanya unofficial support ya hizi komputer ambazo apple imeacha kuzisupport, kuna software inaitwa OpenCore Lgacy Patcher inaruhusu kuinstall version mpya za macos nenda site yao angalia kama model yako iko supported fanya update ya apple hadi mwisho itakapofikia kisha nenda youtube tafuta jinsi ya kuuupdate version yako kwa kutumia open core.
Shukran Mkuu naona umenielewa mapema.Mashine ni ya muda kidogo hivyo huwa inaniambia kabisa kuwa mashine imepitwa na wakati hivyo kuna apps zinagoma,hata youtube inafunguka nusu nusu,facebook,insta hazikubali tena.Ngoja nifuate huu muongozo umeniwekea.
 
Shukran Mkuu naona umenielewa mapema.Mashine ni ya muda kidogo hivyo huwa inaniambia kabisa kuwa mashine imepitwa na wakati hivyo kuna apps zinagoma,hata youtube inafunguka nusu nusu,facebook,insta hazikubali tena.Ngoja nifuate huu muongozo umeniwekea.
Uko nyuma sana hata browser inayosupport version hiyo hakuna.
Kama update ikishindikana na opencore unaweza kuweka virtual machine ya windows 10 then ndani yake utaweza kufanya mapya. Itabidi utafute version ya zamani ya virtualbox 5.0.40.
 
Back
Top Bottom