TsotsiKwesta
Senior Member
- Jan 12, 2014
- 126
- 258
Habari zenu wana JF
Natumai Pasaka imeisha salama. Miaka kidogo iliyopita kulikua na uzi watu walipost bongofleva zile old school. Ziliwekwa mp3 hapo lakini ule uzi sijui ulifutwa au la.
Mimi nina shida ya nyimbo ya Msela, ambayo ni ya Marehemu Ngwair na Juma Nature &KR. Natafuta Remix yake yupo Bamboo kutoka Kenya.
Remix inaenda Katika kila jamii kuna mwizi mmoja.
Youtube hakuna remix yake.
Natanguliza Shukrani
Mfana wenu
Natumai Pasaka imeisha salama. Miaka kidogo iliyopita kulikua na uzi watu walipost bongofleva zile old school. Ziliwekwa mp3 hapo lakini ule uzi sijui ulifutwa au la.
Mimi nina shida ya nyimbo ya Msela, ambayo ni ya Marehemu Ngwair na Juma Nature &KR. Natafuta Remix yake yupo Bamboo kutoka Kenya.
Remix inaenda Katika kila jamii kuna mwizi mmoja.
Youtube hakuna remix yake.
Natanguliza Shukrani
Mfana wenu