Mkuu dawa yake ndogo sana. Jipake mkojo wa mbuzi. Unakumbuka kule kijijiNI watu wengine hua wanalala na mbuzi ndani ya nyumba, hasa wasukuma,wabena, wahehe na warangi. Utakuta ukilala kwenye nyumba wanamolala mbuzi huumwi na mbu hata kama huna net. Ile harufu ya mkojo wa mbuzi ni NATURAL REPELLENT YA MBU