Wanajavamvi mimi ni mgeni huku nipo sana jukwaa la siasa leo naomba ushauri wenu wanajamvi la mapenzi.
Jamani nina tatizo ambalo natamani kuachana nalo lakini bado sijaweza.
Nina mke mzuri, watoto wazuri na maisha mazuri sema mimi ni malaya "MBWA" sio neno zuri kulitumia lakini huo ndio ukweli. Nimeshakuwa na mahusiano na zaidi ya wanawake tisini(90) na hivi sasa kuna wanawake kumi(10) ambao kila mmoja anajihesabu kwamba yupo yeye na mwenye mali tu(wife).
Dhamira inanisuta sana wakati nikimtazama mke wangu na upendo wake kwangu wakati mimi namgawia utamu wake nje, namshukuru Mungu sina ukimwi wala sijawahi kupata ugonjwa wowote wa zinaa.
Mwanzo nilikuwa malaya sana mpaka niliposema nataka kuoa home wakaniuliza kama ni kweli nipo serious au nataka kuwatia aibu nikawaambia nipo serious mchakato ukaendelea nikaoa, baada ya hapo nilikaa kwa miaka mitano bila kuwa na mahusiano nje ghala akatokea shemeji yangu akanitamkia mwenyewe baadae nikamchukua na ndio ukawa mwanzo mpya, nikaendeleza tabia yangu mpaka sasa!
Kila demu ninayemtokea huwa hanikatalii hii imenifanya niwe kiwembe mpaka leo!
Mke wangu nampenda sana na yeye ananiamini lakini mumewe ni malaya sana.
Je nifanyeje ili kuacha hii tabia coz najua kwamba mwisho wa siku wale wadada ninaowaacha huwa wanaumia maana unakuta wamekolea wakati mimi tayari naendelea kwa mwingine.
NAOMBA MSAADA WENU JAMANI
Jamani nina tatizo ambalo natamani kuachana nalo lakini bado sijaweza.
Nina mke mzuri, watoto wazuri na maisha mazuri sema mimi ni malaya "MBWA" sio neno zuri kulitumia lakini huo ndio ukweli. Nimeshakuwa na mahusiano na zaidi ya wanawake tisini(90) na hivi sasa kuna wanawake kumi(10) ambao kila mmoja anajihesabu kwamba yupo yeye na mwenye mali tu(wife).
Dhamira inanisuta sana wakati nikimtazama mke wangu na upendo wake kwangu wakati mimi namgawia utamu wake nje, namshukuru Mungu sina ukimwi wala sijawahi kupata ugonjwa wowote wa zinaa.
Mwanzo nilikuwa malaya sana mpaka niliposema nataka kuoa home wakaniuliza kama ni kweli nipo serious au nataka kuwatia aibu nikawaambia nipo serious mchakato ukaendelea nikaoa, baada ya hapo nilikaa kwa miaka mitano bila kuwa na mahusiano nje ghala akatokea shemeji yangu akanitamkia mwenyewe baadae nikamchukua na ndio ukawa mwanzo mpya, nikaendeleza tabia yangu mpaka sasa!
Kila demu ninayemtokea huwa hanikatalii hii imenifanya niwe kiwembe mpaka leo!
Mke wangu nampenda sana na yeye ananiamini lakini mumewe ni malaya sana.
Je nifanyeje ili kuacha hii tabia coz najua kwamba mwisho wa siku wale wadada ninaowaacha huwa wanaumia maana unakuta wamekolea wakati mimi tayari naendelea kwa mwingine.
NAOMBA MSAADA WENU JAMANI