Ninaomba mdahalo na Polepole

Hata waangaike vipi..CCMOUT
 
Hivi Channel Ten kwanini inaokoteza watu barabarani? Ni heri ingechukua watu wakini kama Jenerali Ulimwengu katika mada mbalimbali
 

Unataka tujilinganishe na china? Tena ni mfano mzuri sana, china wameendelea sio kwa kubadilisha chama tawala. China kwa kipindi chote kimetawaliwa na chama kimoja tu, kinachohitajika ni uongozi thabiti, na si mwingine ni JPM
 

Tungeshukuru sana kama upo tayari maana huyu jamaa ana kera sana
 

Tumbo linampelekesha sana
 
Unataka tujilinganishe na china? Tena ni mfano mzuri sana, china wameendelea sio kwa kubadilisha chama tawala. China kwa kipindi chote kimetawaliwa na chama kimoja tu, kinachohitajika ni uongozi thabiti, na si mwingine ni JPM

aaah nina uhakika uijui historia ya china ata peasent revolution plus cultural revolution of china wewe ni mweupe.Eti chama kimoja china unakumbuka kuangushwa kwa akina Yet Sun na Kiang Kaishek au hupo hupi tu.CCM must go like those
 
Wameisha fungia mjadala yake yote...sasa hivi anapakusemea. Mpaka avae kijani au njano ndo ataruhusiwa
 

Ila wako radhi ichukuliwe na genge mafisadi waingie katika mfumo endelevu wa kugawana mahela na Mali za nji hii. Rasimu ya Warioba inasiginwa hivihivi. Walioipigania sasa; Mzee wetu Warioba anadiriki kusema ni wavunja MUUNGANO. Rushwa na njaa iliyodekezwa; vimepofusha waliowahi kuwa ndugu.
 
Wameisha fungia mjadala yake yote...sasa hivi anapakusemea. Mpaka avae kijani au njano ndo ataruhusiwa

Ahahahaha naona mmepata nafasi ya kupumua maana jamaa alikuwa Kawa tight milango yote ya hewa... Ila kazi bado mnayo maana anakuja kivingine soon kuwadunga sindano za moto.
 
Kwenye mdahalo inaruhusiwa kuingia na lungu?kama inarusiwa bas naomba mdahalo na polepole
 
Afadhali utusaidie
MAana cjui huwa anakunywa viroba kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…