Hii inanikumbusha mwaka 2001, kabla ya hapo maandamano yoyote yaliyokuwa yakiombewa ruhusa na vyama vya upinzani kufanyika yalikuwa yakikataliwa na polisi kwa madai ya kukosa uhalali! Mwaka 2001 pale akina lipumba walipoandamana kwa nguvu mpaka wakavunjwa mikono kupinga matokeo ya uchaguzi wa znz na watu wengine wakauuawa kule zenji serikali ikalaumiwa na jumuia ya kimataifa, kilichofuata serikali iliruhusu maandamano na vikwazo vikawa very minimal. Lakini inaonekana moto wa cdm mwaka huu kwenye uchaguzi umeleta tabia ya geshi la polisi kurudia tabia waliyokuwa nayo kabla ya mauwaji ya 2001 kule pemba ya kukataa kila ombi la kukutana kwa amani kwa upinzani! Tunaomba Almighty good Lord awaingie moyoni wanaokataa maandamano ya amani, Azinyongónyeshe mioyo ya wale wanaowatuma jamaa hawa wakataze haki za raia kuamndamana ku-express their opinions!