Ninamuachia Mungu......

Ninamuachia Mungu......

spyboss

Member
Joined
Nov 30, 2015
Posts
45
Reaction score
69
Hivi kweli taasisi inatoa tenda kwa taasisi nyingine kuwafanyia watu usahili halafu mwisho wa siku watu wale walioitwa kuja kwenye usahili huo hawawapi kazi wanampa kazi mtoto wa bosi wa taasisi hiyo ambaye hata kwenye usahili hakuwepo wala haja volunteer kufanya kazi kwenye taasisi hiyo ........hivi jamani kulikua na sababu gani ya kuita watu kwenye usahili.........Mimi namuachia Mungu!!!!!!!!!
 
Unamuachia Mungu afanye nini? Fight kutafuta kitu kingine cha kufanya, usikate tamaa wala usiumie kupita kiasi .... Eboooo!

Sio lazima ufanye kazi kwenye taasisi hiyo! maisha ni mapambano pambana bila kuchoka
 
Bora nipambane na kitu kingine sio kusubiri na kuajiriwa..................watu wameshagawana hizi taasisi sikunyingi sana
 
Haya mambo ya kumuachia mungu kila kitu,ndiyo yanayotufanya waafrika tuzidi kudidimia kwenye dimbwi la umaskini.
 
Bora nipambane na kitu kingine sio kusubiri na kuajiriwa..................watu wameshagawana hizi taasisi sikunyingi sana
dont give up fight ukikataa tamaa basi hata roho wa MUNGU hatofanya kazi ndani yako
 
dont give up fight ukikataa tamaa basi hata roho wa MUNGU hatofanya kazi ndani yako


Hawa jamaaa inabidi kuwareport.............HR Department/Directorate imekosa ethics kabisa...........haiwezekani taasisi inapoteza mamilioni ya shilingi kutafuta consultancy halafu wanakuja kuchukua mtu from no where........where is the value for money hapo kwenye hiyo consultancy.
 
Sasa si umuache kwani lazma kumfuata au kuna mtu kakulazmisha "NAWAAMBIENI MSIPONIIMBIA NYIE HATA HAYA MAWE YATANIIMBIA NA KUSHANGILIA"
 
Weka hapa ni wapi na ni nani ukiendelea kuficha unakua haunatofauti na wao weka hapa tulianzishe
 
hakuna mfatiliaji,kama yupo fatilia nafasi ya Bunge tulifanya usaili mwezi wa 3 Tume ya ajira mpaka leo hakunaaaa
 
itaje bas,,mana km hutoitaja ni kazi bure! afterall sie wengne hayo 2shakutana nayo snaa ila ndo tunasonga 2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom