Kindeena JF-Expert Member Joined Sep 27, 2017 Posts 11,911 Reaction score 21,928 May 29, 2025 #1 Nahitaji bajaji ya mkataba Kama unayo au unaweza kuniunganisha na mwenye nayo. Mawasiliano: PM tuzungumze 0781694294
Nahitaji bajaji ya mkataba Kama unayo au unaweza kuniunganisha na mwenye nayo. Mawasiliano: PM tuzungumze 0781694294
Auto-Marvelt JF-Expert Member Joined Jul 13, 2019 Posts 2,578 Reaction score 5,378 May 29, 2025 #2 Mungu akusaidie uipate, Mpambanaji
Nomadiq JF-Expert Member Joined Jan 5, 2025 Posts 7,924 Reaction score 20,912 May 29, 2025 #3 Kila la kheri kiongozi
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,104 Reaction score 1,249,083 May 29, 2025 #4 All the Best
genius_ JF-Expert Member Joined Aug 22, 2018 Posts 508 Reaction score 1,328 May 29, 2025 #5 hesabu kwa wiki utaleta shngp na kwa mda gani..
Fund man JF-Expert Member Joined Feb 24, 2021 Posts 4,176 Reaction score 5,597 May 29, 2025 #6 genius_ said: hesabu kwa wiki utaleta shngp na kwa mda gani.. Click to expand... Jibu swali
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,157 Reaction score 72,195 May 29, 2025 #7 Kuna wale jamaa/kampuni wanaokopesha bajaj za umeme unatoa 700,000 kama kianzio halafu marejesho ni 140,000 kwa wiki au 20,000 kwa siku
Kuna wale jamaa/kampuni wanaokopesha bajaj za umeme unatoa 700,000 kama kianzio halafu marejesho ni 140,000 kwa wiki au 20,000 kwa siku
Papaa Gx JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 11,508 Reaction score 18,667 May 29, 2025 #8 Marejesho ni kwa muda gani? Joseverest said: Kuna wale jamaa/kampuni wanaokopesha bajaj za umeme unatoa 700,000 kama kianzio halafu marejesho ni 140,000 kwa wiki au 20,000 kwa siku Click to expand...
Marejesho ni kwa muda gani? Joseverest said: Kuna wale jamaa/kampuni wanaokopesha bajaj za umeme unatoa 700,000 kama kianzio halafu marejesho ni 140,000 kwa wiki au 20,000 kwa siku Click to expand...
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,450 Reaction score 203,037 May 29, 2025 #9 Akikujibu nishtue mkuu genius_ said: hesabu kwa wiki utaleta shngp na kwa mda gani.. Click to expand...
Akikujibu nishtue mkuu genius_ said: hesabu kwa wiki utaleta shngp na kwa mda gani.. Click to expand...
Kindeena JF-Expert Member Joined Sep 27, 2017 Posts 11,911 Reaction score 21,928 May 29, 2025 Thread starter #10 genius_ said: hesabu kwa wiki utaleta shngp na kwa mda gani.. Click to expand... Kama una chombo ni-pm tuzungumze
genius_ said: hesabu kwa wiki utaleta shngp na kwa mda gani.. Click to expand... Kama una chombo ni-pm tuzungumze
genius_ JF-Expert Member Joined Aug 22, 2018 Posts 508 Reaction score 1,328 May 29, 2025 #11 Kindeena said: Kama una chombo ni-pm tuzungumze Click to expand... mkuu kwa faida ya wana jukwaa ebu sema hapa hapa mana kuna wengine hapo juu wameulizia na wanahitaji kujua
Kindeena said: Kama una chombo ni-pm tuzungumze Click to expand... mkuu kwa faida ya wana jukwaa ebu sema hapa hapa mana kuna wengine hapo juu wameulizia na wanahitaji kujua
Kindeena JF-Expert Member Joined Sep 27, 2017 Posts 11,911 Reaction score 21,928 May 29, 2025 Thread starter #12 genius_ said: mkuu kwa faida ya wana jukwaa ebu sema hapa hapa mana kuna wengine hapo juu wameulizia na wanahitaji kujua Click to expand... Mimi ninahitaji bajaji. Mwenye bajaji ani-pm tuzungumze
genius_ said: mkuu kwa faida ya wana jukwaa ebu sema hapa hapa mana kuna wengine hapo juu wameulizia na wanahitaji kujua Click to expand... Mimi ninahitaji bajaji. Mwenye bajaji ani-pm tuzungumze
Nelly JF-Expert Member Joined Jan 25, 2020 Posts 5,666 Reaction score 11,123 May 29, 2025 #13 Ikawe heri kwako mpambanaji... Umeiona fursa hivyo unatafuta njia👊👊👊
K11 JF-Expert Member Joined Oct 15, 2014 Posts 4,161 Reaction score 13,421 May 29, 2025 #14 Kindeena said: Mimi ninahitaji bajaji. Mwenye bajaji ani-pm tuzungumze Click to expand... Hauko serious na tangazo lako. Ukitoa tangazo la kibiashara hakikisha unaweka bayana taarifa za msingi zote bila kuhitaji watu wakufuate chumbani huko
Kindeena said: Mimi ninahitaji bajaji. Mwenye bajaji ani-pm tuzungumze Click to expand... Hauko serious na tangazo lako. Ukitoa tangazo la kibiashara hakikisha unaweka bayana taarifa za msingi zote bila kuhitaji watu wakufuate chumbani huko
Kindeena JF-Expert Member Joined Sep 27, 2017 Posts 11,911 Reaction score 21,928 May 29, 2025 Thread starter #15 K11 said: Hauko serious na tangazo lako. Ukitoa tangazo la kibiashara hakikisha unaweka bayana taarifa za msingi zote bila kuhitaji watu wakufuate chumbani huko Click to expand... Kama una bajaji ni-pm. Ninaijua JF vizuri. Sijakosea!
K11 said: Hauko serious na tangazo lako. Ukitoa tangazo la kibiashara hakikisha unaweka bayana taarifa za msingi zote bila kuhitaji watu wakufuate chumbani huko Click to expand... Kama una bajaji ni-pm. Ninaijua JF vizuri. Sijakosea!
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,157 Reaction score 72,195 May 31, 2025 #16 Papaa Gx said: Marejesho ni kwa muda gani? Click to expand... Miaka miwili