NINAHITAJI MPISHI WA CHAPATI.

Joined
Jan 10, 2016
Posts
78
Reaction score
61
Habari wana Jf, kama nilivyoainisha kwenye kichwa cha habari hapo juu. Ninahitaji mpishi anayejua kupika chapati nzuri laini na zinazochambuka. Mwenye huo ujuzi anaweza kuwasiliana na mimi kwa simu Namba 0767 39 64 54. Mimi ninaishi hapa Dar es salaam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…