Ninahitaji mpenzi wa kike

Makanisa mengi ya kiroho ukimpenda binti unaenda kwa mchungaji umuulize kama ana mtu tayari, sasa huoni mchungaji anaweza chezesha karata vibaya, kumbuka huruhusiwa kumwambia binti kama unampenda mpaka go ahead ya mchungaji.

Wana mambo ya ajabu sana, utasikia mungu kamfunulia
 
Heshimun uzi wa mtu sio mjadala tena.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…