Uwesu Habibu
New Member
- Sep 23, 2015
- 2
- 2
Hello wapendwa peleni na majukumu, kwa sasa nipo Dar nina shida na mzigo wa choroko kilo ninanunua 1400. Ninahitaji mzigo mwingi hata Tani 500 kama kuna MTU ana mzigo tuwasiliane.
Unauzaje kwa kilo?Ninazo tani 500, nipo Singida, ila kwa bei hiyo mpaka utakapo kuja kuuchukua mzigo itakua sawaa !
Unahitaji choroko?Unauzaje kwa kilo?
UleziUnahitaji choroko?
Ndio nahitajiUnahitaji choroko?
Unapatikana wap? 0694 259462 nicheckNdio nahitaji
Unauzaje kwa kilo ?Unapatikana wap? 0694 259462 nicheck
Kilimo na Mauzo / Biashara Mazao ni Sawa ?Anayeulizia 'New Member'
Mwenye nazo 'New Member'
Mwenye nazo 'Member'
Senior member & Expert member tujikite kwenye kilimo.