Ninaflash na ku unlock simu kwa bei rahisi sana

Ninaflash na ku unlock simu kwa bei rahisi sana

billz949

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
311
Reaction score
73
Ninaflash na kutoa sim lock kwa bei rahisi sana,mfano iphone zote unlocking kwa njia ya software ni elfu 30 tu....official ama kwa kutumia imei itategemea na carrier aliyeilock simu yako,huawei za tigo na vodafone ni elfu 15 tu na nyinginezo nyingi. Pia ninafanya hizi services hata remotely. Karibu nikuhudumie na kwa maswali yoyote shuka hapa au nitafute kwa 0763969066. Kila meseji itajibiwa so kuwa huru kuuliza swali lolote .
 
Ninaflash na kutoa sim lock kwa bei rahisi sana,mfano iphone zote unlocking kwa njia ya software ni elfu 30 tu....official ama kwa kutumia imei itategemea na carrier aliyeilock simu yako,huawei za tigo na vodafone ni elfu 10 tu na nyinginezo nyingi. Karibu nikuhudumie na kwa maswali yoyote shuka hapa au nitafute kwa 0763969066. Kila meseji itajibiwa .

Saizi ni kama nusu saa napiga simu yako iko bussy sasa tukueleweje?
 
Ninaflash na kutoa sim lock kwa bei rahisi sana,mfano iphone zote unlocking kwa njia ya software ni elfu 30 tu....official ama kwa kutumia imei itategemea na carrier aliyeilock simu yako,huawei za tigo na vodafone ni elfu 10 tu na nyinginezo nyingi. Karibu nikuhudumie na kwa maswali yoyote shuka hapa au nitafute kwa 0763969066. Kila meseji itajibiwa .

Umesomeka mkuu.Mimi nina airtel wireless ya mezani.Vipi unaweza kuifanyia hayo manjonjo kwa sh ngapi?
 
Umesomeka mkuu.Mimi nina airtel wireless ya mezani.Vipi unaweza kuifanyia hayo manjonjo kwa sh ngapi?

naomba unipatie maelezo zaidi kidogo kuhusu hiyo device yako.........kama model namba yake na brand name yake
 
Back
Top Bottom