Ninachowaza juu ya Rais Magufuli

Ninachowaza juu ya Rais Magufuli

Kabla hata sijamaliza kusoma nikawaza kwa Nini usiseme aache mpango, utaratobu au mwongozo. Niliposoma hitimisho nikaona umelenga penyewe yaani katiba Safi ambayo itawaongoza wanaofuata baada ya muda wake kikatiba.
Sipendi kabisa kusikia hi habari ya kumuongezea mtu muda. Kinachotakiwa ni kuweka missing. Watu hawaishi milele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom