Ninachoipendea CCM hasa uchaguzini

Ninachoipendea CCM hasa uchaguzini

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
1. Wanachama na wapenzi wa tangu enzi wa CCM, hasa wanawake na wazee, wanajiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura

2. Siku za Kampeni kunakuwa na siasa za kisasa zisizo na anasa

3. Waratibu wa Uchaguzi wanaambilika na chama

4. Siku ya kupiga kura, wanachama na wapenzi wa CCM wanakwenda kupiga kura

5. Kutakuwa na wagombea kila jimbo na kata, wakala kila kituo

Wenzetu wapinzani hawafanyi haya na wanaishia, baada ya matokeo, kulalamika na kulialia. Tukutane Oktoba!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
VUTA-NKUVUTE posts zako zimebadilika sana siku hizi. Lowasa kaondoka huko kwenu au bado mko naye? Mnyang'anyeni kadi yake sare za chama. Gamba mlichelewesha kulivua,sasa limegeuka kansa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom