Ninaanzaje kukukubali?

Hapo mwenye shida ni nani "mpaka poda aliekuseduce" au "wewe uliemkubalia" halafu mwisho wa siku unamwaga OMO
 
Hakika , mwanamme nilazima ujiamini kwa jinsi ulivyo.

Leo hii nashuhudia lundo kubwa LA wanaume waloishia kua na Madeni eti kisa KUONEKANA
..
Yeah, wanajifanya wa kishua kumbe 0. Hakuna hasara utakayopata ukiwa real. Be you, usi act maisha maana huwa inatokea watu puani.
 
Hahahaa we jamaa hapo juu conor1 nilijua tu ile ID ya conor walikupa ban mana nilikua sikuoni na nilijua tu kwa stail yako ya kupinga kila uzi au commenj jf lazma wakuban, ngoja ninukunukuu moja ya coment zako ulizokua unazipenda "wewe ni empty brain kbsa, asubuh hii unawaza majivu" ndo ukaswitch from conor to conor1, huwez kujificha mana character yako ni ile ile ya kupinga kila uzi jf.
 
Hapo chachaa,..halafu ukweli humweka MTU huru aiseeee yaani unaishi peacefully
 
Hapo chachaa,..halafu ukweli humweka MTU huru aiseeee yaani unaishi peacefully
Sasaaaaaaaa unakua huruuuuuuuuuuu balaaaa ,, maisha yanakua matamuuuuu......naakija kwako kukutembelea huna hofu kabisaaa.

Sasa unagegeda ,alafu mshikaji wako naye anakupigia simu ** oya oyaa maliza fasta man ,nakuja na demu Wangu*
hapo ndo utaanza kuimba .....

Naruuuuuuuuuuudi nyumbaaaaani

Daiiiiiimaaaaa kwakoooooooooo

Kwaaaaaupendooo niiipoke ..

Sasaaaaaa naruuuuuudi
 
hapo mwisho vp
kwani ni lazima udate na mwanaume wa dar........kuna wenzio wanawapenda hao ambao we huwataki
 
Nina uhakika we ni bonge la demu kwanin unajificha mtt mzuri
Hahahaha mamaeeee ,, jilingeshe uone ,utarudi chupi umeshikilia kichwani.

Anyway ,, wazee wako bado wanapuyanga kwenye kale katope na makuti ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…