Ninaanzaje kukukubali?

Beauty Eva

Senior Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
131
Reaction score
374
Kijana Shabab kabisa. Unapaka poda, unalegeza sauti na kuongea kama mwanamke. Mwili unaulegeza kama mwanamke.

Outing unakula soseji moja na nusu glasi ya juisi, halafu unajitia huwezi kumaliza.

Maongezi yako yote, ni kujisifia. Gari unaloendesha umeazima..Lol

Mwanaume unatakiwa ujiamini. Ishi kiume, kupretend waachie wanawake.

Kama huna kitu, ndo hali yako.Ila onesha namna unavyoweza kupambana na hatimaye kupata matokeo.

Ninyi wanaume wa Dar vipi?
 
Kwahiyo tukitoka we ukiagiza chips mi naagiza ugali sio,

Halafu ukibakiza zile chips nakwambia leta hapa nizimalizie eti eeeh,

Kwa siku nioge mara moja tu halafu napaka mafuta ya 300 hata ya kula kama yapo karibu eti,
 
Kwel aiseh itabid nikupm maana mi ni zaidi ya mgumu
 
Babyy
umekunwa palipo stail !!!
Aaahh,,kanichekesha tuuu kuna mkaka juzi alikuja home kurudisha kitu flan waliazima,ni majirani tuu,sasa akanikuta mm looh mpaka nikajihisi mm mwanaumee yaani hicho kitu alichokua amekirudisha hiyo slain yake uuwiii
sasa ndio hawa hawa wakula sotheji nusu nakuacha mweh..halafu ni wale wa s anaweka x heeee Jamanii mwanaume inanoga uwe mgumu mgumu/mkakamavu japo kidogo
 
Hahahaaaaaa mwanamme lazima uwe mkakamavu ,mgumu ,,huna jiamin km huna ,nikidogo jiamin ...

Kuna jamaaa ,, yaaan akiwa ana demu anakufata umwachie ndani mwako ,, sasa banaa mataiz anayoyafanya haaaaaaaaa mademu wanaishiaga kumwambia "nioe baby ,nioe nikupe watoto"..... Jamaa anageto lake kiaina ila hajiamin daaaahhhhh... Mwisho wasiku amekua hakai na mwanamke hata mwezi yaaan ,,Siunajua uongo mwisho huwa ni Aibu ?? Sasa kuficha aibu ,ameamua kua mtu wakula mzigo nakusepa basiiiii...

Mwanamme nikujiamin ,km unajua sarakasi ,Fanya sarakasi mwanamke wako aone maajabu km huyu kaka yangu
.. Yeah am rude/angry ukinipenda poaa usiponipenda poaa ,,yann pretend wakat IPO siku Asili yangu utaijua??.
 
hahahahahaaaa nimecheka hapo kweny kula sosej moja......

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…