Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,835
Ili upate mkopo lazima chuo kitume jina Lako na taarifa zako zote, sasa mimi wakati wa kuomba chuo nilikosea kujaza mwaka wangu wa kuzaliwa, aidha sikuwa makini au keyboard iliautotype.
Sasa kule bodi ya mkopo nimejaza vizuri nikaambatanisha na cheti cha kuzaliwa (1_4-1996) lakini chuoni wajua nimezaliwa (1_4_1993) hapo ndokimbembe
Kosa la mwisho nilisahau kujaza taarifa za mlezi japo Sina mlezi mama amefariki nakaa na baba tu. Naombeni mawazo yenu maana nipo confused .
Sasa kule bodi ya mkopo nimejaza vizuri nikaambatanisha na cheti cha kuzaliwa (1_4-1996) lakini chuoni wajua nimezaliwa (1_4_1993) hapo ndokimbembe
Kosa la mwisho nilisahau kujaza taarifa za mlezi japo Sina mlezi mama amefariki nakaa na baba tu. Naombeni mawazo yenu maana nipo confused .