Ndg zangu Mimi kama mdau mkubwa wa Mageuzi hapa nchini napata Mashaka makubwa na muungano wetu.Ukawa ilipoanza vyama vote vilipata baraka za vikao halali vya vyama husika lakini nimepigwa na butwaa kusikia hapa tulipofikia kumpata mgombea Urais baadhi ya vyama vimeanza kurudi nyuma on pretending kwamba wanakwenda kujadiliana kwenye vikao vya chama.Kwa kweli Mimi ninaona kuna mchezo wa hatari mno kama maamuzi magumu hayatafanyika sasa hivi.Am warning CDM to tread with extra care short of that history will judge them harsh. Some of these partners they are genuineness is subjected into questionable.