Nina wakati mgumu sana, nahisi nimeambukizwa HIV

Hofu ni mbaya kuliko HIV ndugu. Utakufa kabla ya kurudi uliyoambiwa urudi kwa madaktari.
Subiri majibu ya vipimo baada ya hiyo miezi mitatu.

NB:
Kuna kausemi kanasema Tamaambele mauti njuma. Rekebisha mwenendo na tabia.

Ila wakuu katika hiyo miezi mitatu kama mtu amepata si kuna changes mwilini mtu ataziona?
 
Usijal punguza mawazo mkuu, mimi nna ushuuda kama wako mnamo mwaka Jana nilienda kununua mchele kijijini kwa ajili ya biashara, nikashuka stendi ghafla mtoto mkali huyu hapa nikarusha mistari mtoto kakubali.

Kwa kuwa nilikuwa ugenini hvyo nikaenda kuchukua lodge baadae mtoto akaja, kuanzia saa 1 jion mpka asbh nilikuwa nakula mema ya nchi.

Sio Siri yule mtoto anajua sana mapenzi, anajua kumpandishia nyege mwanaume kila baada ya goli.
Kwasababu nilikaa kahama kwa siku 5, siku ya tatu nikamkuta huyu Dada mjua mapenzi anakunywa dawa ila baada ya kumuuliza alikataa

Baadae rafki yke akaniambia ni kweli yule Dada ni mgonjwa, kuanzia dakika hyo mwili uliishiwa nguvu kama vile nimepigwa ngazi, baada ya dakika 10 tayari likaanza tumbo l kuharisha!!

Sikutaka mawasiliano nae tena, nikarudi zangu Arusha nikiwa na hasira, uchungu na majuto juu. Lakini baada ya mda nikaona bora nikapime baada ya miezi 3 majibu nakapewa kuwa am safe,

Mpka leo nipo makini mno, naomba usikilize wimbo wa Ambwene unaitwa NGUVU YA KUJUA, naamini ndio jibu lako kwasasa
Kwahiyo mkuu kumbe kupata ngoma sio kirahis sana kama mtu anavoweza kufikiria!! Naamini Mungu huwa anatulinda sana
 
Kwahiyo mkuu kumbe kupata ngoma sio kirahis sana kama mtu anavoweza kufikiria!! Naamini Mungu huwa anatulinda sana
Tena huyo anayetumia arv vizuri, unateleza tu, ndio wanahimiza watu wapime...ingawa mimi binafsi kupima waga ni mtihani mkubwa...niliwahi mara moja kijasho kilinitoka
 
I'm doing a simple pilot survey (questionnaire)
At ur free time may u participate by answering the questions.

It's a 2 minutes short Questionnaire form.

I would much Appreciate your participation.

Please share with your friends

 
Mkuu ondoa hofu kabsa.it happens once a million for a single encounter with a hiv+ person who is taking arv for u to acquire that stupidy ukimwi.
 
Niko kwenye Kipindi ambacho nahisi nimeibeba dunia yote, Akili imestuck kabisa nikiwa nawaza miezi 3 niliyoambiwa nisubiri na madaktari nikapime tena afya itakuaje Kama nikiambiwa Niko positive?

Safari yangu ya Tanga imekuwa mbaya sana,.nauona mstari mwembamba katikati ya kifo na maisha.

Diana, Sikulaumu hili nimelitaka mwenyewe, Uzuri wako ulifanya nikuamini kwa macho, Sina Cha kufanya zaidi ya kuomba mungu niwe salama baada ya hizo siku 90. Nitawezaje kutumia zile ARV kila siku?.

Siwezi kuishi nikiwa muathirika na Kama nikithibika hivo nitawaachia dunia kuliko kuishi kwa hofu namna hii.
Kapime mkuu,ukimwi sio ugonjwa wa kutisha tena
 
ndugu ukimwi sio mwisho wa maisha, nina jamaa yangu aligundua kuwa amepata maambukizo miaka mitatu iliyopita, akaanxa kumeza dawa kila siku, jamaa aliamua kuwa muwazi hali yake kwa washkaji wote, ameendelea kunywa dawa tokea kipindi hicho sometime huwa anapewa dili na hao wanaotoa dawa, wanaenda kutoa semina na huwa anatumiwa kujibu maswali pindi wafadhili wa mambo ya ukimwi wanapokuja, huwa akilipwa anakuja tunakula bia, juzi kati ameenda kabadilishiwa dawa, kwa sasa anakunywa kidonge kimoja kwa mwezi na dokta kamwambia kinga yake kwa sasa haina tofauti na mtu asiye na ngoma kikubwa azingatie kondom ili asipate maambukizi mapya, jamaa yuko happy na anaenjoy maisha kuliko sisi tusiojijua hali zetu
 
Back
Top Bottom