Nina wakati mgumu sana, nahisi nimeambukizwa HIV

Zegota

JF-Expert Member
Jun 5, 2020
274
584
Niko kwenye Kipindi ambacho nahisi nimeibeba dunia yote, Akili imestuck kabisa nikiwa nawaza miezi 3 niliyoambiwa nisubiri na madaktari nikapime tena afya itakuaje Kama nikiambiwa Niko positive?

Safari yangu ya Tanga imekuwa mbaya sana,.nauona mstari mwembamba katikati ya kifo na maisha.

Diana, Sikulaumu hili nimelitaka mwenyewe, Uzuri wako ulifanya nikuamini kwa macho, Sina Cha kufanya zaidi ya kuomba mungu niwe salama baada ya hizo siku 90. Nitawezaje kutumia zile ARV kila siku?.

Siwezi kuishi nikiwa muathirika na Kama nikithibika hivo nitawaachia dunia kuliko kuishi kwa hofu namna hii.
 
Niko kwenye Kipindi ambacho nahisi nimeibeba dunia yote, Akili imestuck kabisa nikiwa nawaza miezi 3 niliyoambiwa nisubiri na madaktari nikapime tena afya itakuaje Kama nikiambiwa Niko positive?

Safari yangu ya Tanga imekuwa mbaya sana,.nauona mstari mwembamba katikati ya kifo na maisha.

Diana, Sikulaumu hili nimelitaka mwenyewe, Uzuri wako ulifanya nikuamini kwa macho, Sina Cha kufanya zaidi ya kuomba mungu niwe salama baada ya hizo siku 90. Nitawezaje kutumia zile ARV kila siku?.

Siwezi kuishi nikiwa muathirika na Kama nikithibika hivo nitawaachia dunia kuliko kuishi kwa hofu namna hii.
Mkuu naona unahangaika for nothing, mtu hawezi kuishi kwa kutegemea taarifa ya daktari, ukiishi hivyo utakufa kabla ya wakati wako, imagine hukuwahi kupima lakini una HIV, ungeishi kwa amani kabisa

But watu huwa wanapoteza matumaini baada ya kuambiwa una ngoma. Mimi kuna mtu namfahamu kwa muda mrefu tu kuwa ameathirika na ni chapombe haswaa, lakini familia yake hawakutaka kumwambia ukweli, hadi leo jamaa anaishi kwa amani na hana dalili yeyote ya kudhoofu, anapiga kazi zake za UJENZI fresh tu.

HIV haiuwi mtu, utajiua mwenyewe kwa mawazo. Acha hofu wewe. Kumbuka hata kwenye issue ya covid19 watu waliogopa sana lakini sasa life goes on....

Come on relax
 
Pole Sana mkulu...mpaka hapa bado huna uhakika mashaka ya Nini? Fanya Mambo yako Kama kawaida ukiwa ,Kama una nafasi piga kinywaji vuta sigara au bangi (Kama unatumia)usitumie cocaine au heroin ,ruka kadancee,kula vizuri (manyamanyama,makuku,manyama pori ,masamaki,matunda juice yaani vile vitu vizuri vizuri)

Safiri mikoa mbali mbali ,onana na watu wapya , then unarudi kituo chako Cha kazi unatafuta pesa baada ya siku 90,hofu imeondoka ,Kila kitu unakiona kizuri,(unawaza vizuri,una piece of mind,mwili umenawiri,bado Kama Mambo yako yanaenda vizuri,pesa ipo...

Hata ukipima Tena majibu yatakuja vizuri..

Trust me...and follow my lead uone km utapotea!!
 
Kwa nini unàshaka hivyo kumbé bado hujapima?
Huyo diàna kàkufànyàje, punguza hofu ya usiçhokijua mkuu
Mkuu nimepima siku tatu mfululizo tangu nitoke kusex nae niko salama, lakini Diana ni Muathirika

Na mimethibitisha hili bila chembe ya shaka

Pamoja na kwamba aligoma nisimsex lakini, Ilibidi nitumie Ubabe, akaenieleza amaethirika sikuamini, nikafosi sex. Nilikuwa na condom nilivua nikiwa kwenye mchezo na nikasex kavu.. mda wote huo huyu dada alikuwa analia akisema anaogopa nisije kumfanyia kitu kibaya baadae, Hata sijui nilipata upofu gani pamoja na maneno yote ya yule dada.

Nyege zimeniua, nilimsex bao mbili la tatu usiku mwingi akakataa katakata, asubuhi akanisistizia kwamba yeye ni muathirika, Akili ikaanza kunirudi nikaenda Pharmacy nikachukua vipimo akakataa tusipime tukiwa wawili. Tulipoenda maabara ya karibu sikuamini majibu yaliyotoka.

Nyege zimeniua
 
Ebu tupe kamkasa kidogo mkuu, unaweza kuwa salama maana mwanaume ana advantage kwenye maambukizi ukilinganisha na mwanamke.
Kuna mshkaji wangu alimpitia nurse 2014 hiyo kumbe ni mwathirika bhana ila yeye yuko salama japo woga aloingia sikuhiz hapigi bila kupima.
 
Niko kwenye Kipindi ambacho nahisi nimeibeba dunia yote, Akili imestuck kabisa nikiwa nawaza miezi 3 niliyoambiwa nisubiri na madaktari nikapime tena afya itakuaje Kama nikiambiwa Niko positive?

Safari yangu ya Tanga imekuwa mbaya sana,.nauona mstari mwembamba katikati ya kifo na maisha.

Diana, Sikulaumu hili nimelitaka mwenyewe, Uzuri wako ulifanya nikuamini kwa macho, Sina Cha kufanya zaidi ya kuomba mungu niwe salama baada ya hizo siku 90. Nitawezaje kutumia zile ARV kila siku?.

Siwezi kuishi nikiwa muathirika na Kama nikithibika hivo nitawaachia dunia kuliko kuishi kwa hofu namna hii.
Wacha upuuzi...Ngono zembe ufanye mwenyewe, majuto utushirikishe..
Wenzako mamilioni wameamua kuishi wanadunda miaka 30, wakila vidonge...

Kila la heri! E

Everyday is Saturday.......................... :cool:
 
Mkuu nimepima siku tatu mfululizo tangu nitoke kusex nae niko salama, lakini Diana ni Muathirika

Huyu dada alinizungusha sana tangu tuko chuo mpaka jumatano nilipokuja Tanga kikazi nikakutana nae tena ilikuwa ni miaka 5 imepita bila ya kunipa penzi.

Nilipokutana nae huku nikajua ni chance nzuri ya kuitumia kuwa nae, alinipa kampani ya kutosha na tulipoenda nae hotel niliyofikia aligoma kabisa nisimfanye chochote.

Ilibidi nitumie Ubabe, akaenieleza amaethirika sikuamini, nikafosi sex. Nilikuwa na condom nilivua nikiwa kwenye mchezo na nikasex kavu.. mda wote huo huyu dada alikuwa analia akisema anaogopa nisije kumfanyia kitu kibaya baadae, Hata sijui nilipata upofu gani pamoja na maneno yote ya yule dada.

Nyege zimeniua, nilimsex bao mbili la tatu usiku mwingi akakataa katakata, asubuhi akanisistizia kwamba yeye ni muathirika, Akili ikaanza kunirudi nikaenda Pharmacy nikachukua vipimo akakataa tusipime tukiwa wawili. Tulipoenda maabara ya karibu sikuamini majibu yaliyotoka.

Nyege zimeniua
Hii chai
 
Mkuu inaonekana ulikuwa Tanga maeneo ya Malamba,Usagara,Boza,Pangani,Kikokwe,Kibinda,Mseko,Mwera,Sakura,Kipumbwi,Mkwaja huko kote kuwa makini usijione mjanja ukiwa mgeni wanawake watakukubalia haraka.

Huko utapewa mapenzi motomoto ukijisahau kujilinda baadae utajuta.
 
Dunia ina matatizo mengi sana....
Kuna magonjwa nyoko kuliko huyo HIV anayekupa mawazo, chunga sana msongo wa mawazo unaua kuliko huyo HIV unayemuwaza.

Mwisho kabisa ili kuondoa msongo wa mawazo na yasikukute kula vizuri, kunywa maji mengi, jichanganye na watu, fanya mazoezi, omba Mungu kila sekunde na Positivity wins over fear (ukiamini huyo manzi hajakupa HIV ukipimwa hautokutwa nayo, ukiamini huyo manzi amekupa HIV bro utakutwa nayo tu)
 
Back
Top Bottom