Nina ugeni na suala hili

Jordan jacob

Member
May 28, 2016
26
4
Nimepata dv 2 ktk mtihani wangu wa kidato cha nne,nikiwa na alama zifuatazo,math F,english B,hist B,civ C,geog C,kisw C,chem D,phy D,biology C.je naweza badili comb niende CBG maana nimepangiwa HGL.
 
Nimepata dv 2 ktk mtihani wangu wa kidato cha nne,nikiwa na alama zifuatazo,math F,english B,hist B,civ C,geog C,kisw C,chem D,phy D,biology C.je naweza badili comb niende CBG maana nimepangiwa HGL.
Umefeli hesabu at least ungepata pass Prof Ndalichako hatoweza kukubali hilo lifanyike akiwa hai labda itokee miujiza...
 
Back
Top Bottom