Cosmasjulius
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 695
- 1,005
Kukokoa damu ni dalili ya Kichocho pasi na shakaa...!! So kuna dawa zinaitwa PRAZIQUANTEL ukizipata chap tatizo litaishia lakini pia kama halitaisha mtaenda mbele zaidi kwa check up ya ishu kama Any internal damage iliyolead to bleeding au Cancer. Pole sanaMkuu ulipona? Na kama ulipona ulifanyaje? Kuna mtu anaiyo shida anahitaji msaada